DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Ozil bado mkataba wake mpaka 2021....Je, Unai na Ozil nani kabaki?
Mkuu,
Na jamaa hapo alieleza wazi kuwa Yaya alipigwa bench mpaka kandarasi yake ilipoisha akasepa bure...
Na suala la Ozil lipo wazi kuwa yeye ndio hataki kuondoka so kocha anayekuja kama hatoweza kumtumia litamtokea lililomtokea Yaya...atakula bench then aende free.
Sent using Jamii Forums mobile app

️ @m8arteta #M1Ö