UPDATE ON ARTETA.
Inavyoonekana DEAL DONE na mshahara wake ni £5m per Year hadi 2023.
KWA MUJIBU WA PRE PRESS CONFERENCE YA PEP JANA.
Arteta atasafiri kwenda Oxford kwa ajili ya mechi ya carabao hivo atatangazwa kesho alkhamisi kama Kocha wa Arsenal .
Pep ameonesha kabisa anamkubali na hakutaka Aondoke , Bodi ya city ilikuwa imejiandaa kumpa timu ,Maana Pep hana muda mrefu city ataondoka.
Pep anasema Arteta anawork ethic sana muwazi alijua kuwa arteta anakikao na maafisa wa Arsenal baada ya mechi arsenal vs city .Lakini alikuwa muwazi .
Hapa ndonapoelewa kuwa ile mechi alitusamehe la sivo tungekula khamsa .
Pia Pep ameelewa approach ya Arsenal anasema klabu nyingi wanamuapproch mchezaji au manager behind the scene kisha ndio wanaifahamisha klabu .
INASEMAKANA Arteta anamtaka Domenic Torrent na Rodolfo borrel as backroom staff hao watu ni waumini wa Mpira mzuri ,pia anarudi Arsenal na sam fagbemi youth video scout , Alikuwepo Arsenal mwaka 2015.
Huyo Domenic torrent ni assistant coach wa Pep tokea barcelona, bayern mpaka city alipondoka ndipo akumuachia arteta huyo mwingne Rodolfo assistant coach pia pale city alikuwa camp nou ndio aliye simamia ukuaji wa messi pale barca .
Hisia zangu cazorla atarudi Arsenal during summer kwasababu arteta anamkubali sana pia nia ya cazorla yakutaka kurudi Arsenal as backstaff.
Tumsapoti Arteta kama Mzee Wenger alivyotuasa ,
Welcome back Arteta