MIKEL ARTETA NDO JINA LINALOTAWALA SASA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA INASEMEKANA USIKU HUU YUPO NA KIKAO CHA MWISHO NA JOSH KREONKE KUFIKIA MAKUBALIANO KUINOA ARSENAL
Kwa upande wangu Arteta sio chaguo baya na nadhani hawezi kukubali kutia sign kama hajafikia makubaliano ya kupewa fungu nono la usajili kuanzia january
Japo watu wengi wanaona Arsenal ya sasa hata apewe nani itaharibu hii ni kweli..!! Unai Emery destroyed our culture tunahitaji mtu ambae atapigwa kwa ajili ya kujenga timu na Arteta akija atapigika haswa but kutakua na plans behind hatokubali kuja kuaibika lazima ataahidiwa pesa na atapewa
Kroenke sio bahili ila tajiri huogopa kutoa pesa yake kutokana na watumiaji kutotendea haki pesa yake
Mimi ni mfuasi wa Arteta 100% wampe timu sasa hivi achakazwe mpaka achakae lakini ikifika kwenye usajili nina imani ataanza kuijenga timu
Arsenal ya sasa haihitaji mafanikio inahitaji kujengwa Arsenal imebomoka sana
Arteta atafanikiwa sana Arsenal kama akipewa Misimu miwili ya kujenga timu
At least atatuletea vitu hivi vinne
-mfumo wa kuheshimika
-Hardworking Players
-Kujitambua kwa wachezaji
-Mpira mtamu wa Ki Arsenal, Arsenal
Jamaa sio mpole kama watu wanavyomdhania, alisikika Leroy Sane akisema wachezaji wanamuogopa Arteta kuliko Guardiola na yeye ndo uti wa mgongo wa timu kwa sasa
Ni mtu ambae wachezaji wanafuata amri yake mara moja bila kufokafoka
Kwanini Arteta miaka mitatu aliyokaa pale City tayari kuna debe linapigwa aje kumrithi Guardiola..!? Huitaji degree kujua kwanini
There is something in Arteta , jamaa Hajawai kuwa legend wa Arsenal but he is a leader
Arteta hacheki hovyo jamaa yupo serious sana
Arteta tayari ameshajua how to deal with big players
Aguero, De bruyne, silva , sterling na wengineo wamepitia chini yake
Amecheza Barcelona na Arsenal na Amefundisha man city kama msaidizi nadhani ni sahihi maana asilimia kubwa ya maisha yake ameishi kwenye timu zinazohusiana na zenye culture moja na Arsenal
Apewe misimu miwili na kujenga timu then msimu wa tatu tumdai makombe, hakika subira ni muhimu
Hata kama hatotupa kombe but atatuacha pazuri
Guardiola amejifunza kwa Johan Cruyff na leo hii Arteta amejifunza kwa mwanafunzi wa Johan Cruyff, ujuzi unarithishwa
He is our main man kama atafanikiwa
Nina imani Arteta hatokubali ku sign kama hajaahidiwa fungu la pesa
Sijui kama atakuja but moyo wangu umejenga imani nae
He knows our culture nina imani timu itapambana law ajili yake nina imani tutakuwa na watu wanaopambana
KAMA ARTETA AKIPEWA TIMU BASI APEWE NA MUDA WA KUJENGA TIMU
DONDOO MUHIMU
“My philosophy will be clear, I want the football to be expressive, entertaining. I cannot have a concept of football where everything is based on the opposition.”
- Mikel Arteta in his philosophy
At the end of his career at Arsenal, Arsene Wenger allowed Arteta to lead training sessions on numerous occasions after impressing him with “his eye for small details”. Even Arsenal-players, staff members and the club board were convinced that Arteta had a big future as a coach.
According to reports, Arteta impressed Wenger, Arsenal-players, staff members and the club board to such an extent that he was immediately considered as one of the favourites to lead a post-Wenger Arsenal. Arsenal were keen to hold on to him once he announced his retirement.
Mikel Arteta’s reputation as a promising young coach, however, got the new City-manager at the time, Pep Guardiola, interested in bringing him to City as part of his coaching staff. Arteta knew that this was a fantastic opportunity to learn from one of the best managers.
Pep Guardiola on Arteta’s impact on Raheem Sterling:
“Mikel Arteta is working many, many hours and days after training specifically about the last action on the pitch – that control in the last moment to make the right movement in the final three or four metres.
#COYG