Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Decision making ya AMN ipo chini sana
Kwani Wenger aliiachaje? Na ni kwa nn alitimuliwa?
Hapana mkuu huyo jamaa huwaga viceversa kila anachotaka,tena akipost tu ndio kabisaaaaaaaaWewe mganga wa kienyeji?
Sasa umelala wewe??Amken Amken Amken wamepigwa tena
Kachukue mpunga wako mkuu.....Vipi tayari kimeiva? maana nimeomba GG natarajia kitu hapa
: “That’s really difficult to deal with these guys. Martinelli’s pretty much the same age but he’s a talent of the century, he’s an incredible striker, so it’s really difficult.”
Record breaker. History maker. 
"Ushindi huu una maana kubwa sana kwa wachezaji, nina furaha kwa ajili yao. Wiki za karibuni wameishi kwa shinikizo sana na uchezaji wao ulionyesha hivyo. Waliopoamini tena na kutaka kucheza mpira mzuri unaona matokeo yaliyopatikana, wamefanya vizuri"
@freddie