Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Karibuni kwenye uzi wa Liverpool tujadili mambo ya mpira. Achaneni na huu mtimu wa kuumiza moyo.
 
Ila tuipongeze Arsenal yaleo na tumpongeze kocha. Kwanza timu nimeona ikicheza kwa kujituma na kutafuta ushindi, pili kocha ni mara yakwanza anapanga kikosi kikubwa, tatu Norwich wapo onfire. Mimi naona 2-2 tumejitahidi, ninauhakika kwa Emery tungepigwa
 
Haya unaweza kufanya tathimini:-

UPANGAJI WA KIKOSI CHA LEO VS KIKOSI CHA EMERY

MFUMO WA LEO VS MFUMO WA EMERY.

KIWANGO CHA WACHEZAJI LEO VS EMERY ERA.
1)Leo baada ya kipindi kirefu tumeweza kumiliki mpira kwa almost 70 minutes Kati ya 90 minutes

2)Mfumo wa Leo tumeonyesha kuna improvement licha Freddie ana siku 2 tangia aanze kazi

3)Tatizo lipo nyuma Mustafi is useless kabisa na hata wachambuzi wanasema goli 2 ni zake

4)Katikati pia pana shda sana hasa Matteo na Xhaka muda Mwingi hawatabiriki yaani kutoa boko ni kitu cha kawaida

5)Sub za Freddie nazo zina shda hasa Pepe ambaye ilikuwa ni lazima aingie tutafute magoli zaidi ila sababu anampenda mwanae Sako akaleta mapenzi binafsi

La mwisho Msimu huu kwangu mimi binafsi naona hata top Six hatutamaliza tujiandae kwa hili
 
Tukisema hivi
Different coaches the same Arsenal tunamaanisha
Mechi 8 bila ushindi
Muiteni Wenga aje kufanya jambo
 
Haya unaweza kufanya tathimini:-

UPANGAJI WA KIKOSI CHA LEO VS KIKOSI CHA EMERY

MFUMO WA LEO VS MFUMO WA EMERY.

KIWANGO CHA WACHEZAJI LEO VS EMERY ERA.
Huyu kocha angepanga kikosi vizuri,tungepata ushindi vizuri... Sifurahii sare,but at least kuna improvement kiasi flani....Norwich wametoka kumpiga Everton kwao 2-0...hivyo si timu ya kubeza....Nina uhakika 'good ebening' asingechomoka na pointi hii gemu...
 
Ila tuipongeze Arsenal yaleo na tumpongeze kocha. Kwanza timu nimeona ikicheza kwa kujituma na kutafuta ushindi, pili kocha ni mara yakwanza anapanga kikosi kikubwa, tatu Norwich wapo onfire. Mimi naona 2-2 tumejitahidi, ninauhakika kwa Emery tungepigwa

Onfire kivipi wakati wako namba 19 nyie ndo wachovu
 
1)Leo baada ya kipindi kirefu tumeweza kumiliki mpira kwa almost 70 minutes Kati ya 90 minutes

2)Mfumo wa Leo tumeonyesha kuna improvement licha Freddie ana siku 2 tangia aanze kazi

3)Tatizo lipo nyuma Mustafi is useless kabisa na hata wachambuzi wanasema goli 2 ni zake

4)Katikati pia pana shda sana hasa Matteo na Xhaka muda Mwingi hawatabiriki yaani kutoa boko ni kitu cha kawaida

5)Sub za Freddie nazo zina shda hasa Pepe ambaye ilikuwa ni lazima aingie tutafute magoli zaidi ila sababu anampenda mwanae Sako akaleta mapenzi binafsi

La mwisho Msimu huu kwangu mimi binafsi naona hata top Six hatutamaliza tujiandae kwa hili

Mkuu napingana na wewe, hakuna chochote kilichobadilika. Hata UNAI hii game angepata sare tu.

Tuna Torreira nje, Tuna Pepe. Akina Willock na Guendouz wanafanya nini uwanjani. Kwa beki yetu mbovu Lazima uanze na DM kama Lt11 kuwalinda. Siku zote kiungo ya Xhaka/Lt11 ndio bora.

Hivi kweli Saka anauwezo kuliko Pepe? Ni lazima wachezaji wetu bora wacheze kwa pamoja wazoeane.

Second Half Norwich wametukamata sana kiungo. Tunahitaji kocha anayajua kutengeneza mfumo.
 
Hawa Norwich wanatushambulia sana, na inabidi tukubali kuwa hatuna CBs
Hivi hatuwezi kutafuta CB wawili U-23 wakaanza kucheza kwenye first team yetu. Hawa tulionao hawana uwezo huo. Magoli yote ni Uzembe kabisa, wanachelewa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
 
Back
Top Bottom