Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

daaaah alaa xjui kama ii timu itakuwa strong tena nishaikatia tamaa bora tuende championship.
mmmhhhhhhhh najtahid san kuwa mbali na hii timu baada ya muda mahaba yanarudi tena kwa kasi ya 4g.
 
wasoma hali ya upepo wa kisulisuli walisema HOME or DRAW.
naona mambo sio mabaya.

ile siku arsenal 2-2 soton nilishangilia bao la laccazette sababu nilibett arsenal draw or win.

ngoja niendelee na mwendo huu huu
 
Ta Ta Ta Ta Ta
2208324_tapatalk_jpeg_1572452196185.jpeg
 
Willok anatukosti
Hana uwezo wa kumiliki mpira, akipokwonywa hana uwezo wa kuurejesha, hawezi kukaba, hana muono wa pass.

Kiufupi Willock hana hadhi ya kuichezea Arsenal, below average player.
Ndio maana nauliza tena anayejua kwann huyu mwehu anaanza F11 aniambie.
 
Backline yetu inasikitisha sana, Liuz na Mustafi wanafanya makosa ya kipuuzi sana.
Hana uwezo wa kumiliki mpira, akipokwonywa hana uwezo wa kuurejesha, hawezi kukaba, hana muono wa pass.

Kiufupi Willock hana hadhi ya kuichezea Arsenal, below average player.
Ndio maana nauliza tena anayejua kwann huyu mwehu anaanza F11 aniambie.
 
Backline yetu inasikitisha sana, Liuz na Mustafi wanafanya makosa ya kipuuzi sana.
Luiz hana kasi, ni mzuri timu inapokua inashambulia ila kama unashambuliwa hana uwezo wa kukaba.

Kuhusu Mustafi huyu sitaki kumuongelea kabisa maana ni uozo hakutakiwa kuwepo Arsenal msimu huu ndio maana unai na ujinga wake wote hajawai kumpanga mechi yoyote ya EPL.
 
Kuna haja ya kumuamini Rob Holding sio hawa jamaa.
Sijui kama tuna kocha wa mabeki, kama yupo ni tatizo kubwa sana. Tatizo Letu la msingi lipo kwenye beki zetu za kati. Mabadiliko makubwa yanahitajika.
 
Back
Top Bottom