Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Tuna viungo wepesi kama unyoya. Willock /Guendouz sasa hawa ni wachezaji wa kuleta kombe lolote kweli?Ngoja tuone but I don’t know why torreira was left out
Naanza kuamini tuna tatizo zaidi ya Unai. Kama Willock /Guendouz ndio tegemeo Letu. Hawa ni wachezaji wa huko Aston Villa sio Arsenal. Tunahitaji kocha atakayefanya maamuzi magumu.Willock Willock Willock
Ana kitu gani cha ziada ambacho mimi sikioni?, anayejua naomba aniambie.
Hahahaha......... yamekua hayo mara hiiHuyu kocha simuelewi kabisa kwenye upangaji wa kikosi.
Mkuu kama inakuuma, kasomee u-refaree uwe unatoa maamuzi kwenye mechi.NAONA REFA ANAWATAFUTIA USHINDI KAMA WA MWAKINYO, PENALT INARUDIWA ETIWAKATI KRUL ALISHAITOA..PUMBAF