Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
MTAZAMO WANGU JUU YA LJUMBERG
Tusiwe wepesi kusifu pia tusiwe wepesi kukosoa hadi tuone kipi kafanya kwa mazingira kaachiwa team iko disorganised sana anahitaji muda kufanya kitu kama kweli anahitaji changes
Fredie sio mgeni kwenye career ya ukocha licha ya kwamba hajawahi kustand kama head coach wa senior team alikuwa huko youth team under15 baadae under23 hivyo ana kitu
Kitu cha msingi anatakiwa kujenga ni ushawishi na kuwa muwazi ( #transparent) kimbinu kiuchezaji najua kwake language barrier haipo
Kama ilivyokuwa kwa Unai wachezaji hasa hawa vijana kama Saka,willock waliwahi nukuliwa kwamba aliwasaidia sana kutafsiri nini kocha anahitaji kipindi akiwa msaidizi
Hii ni ishara nzuri kukubalika kwa wachezaji isitoshe huyu ni arsenal #DNA anajua #identity ya club tangu 1998 adi 2007alipokuwa arsenal kama mchezaji
Hofu yangu ni #experience tu (uzoefu) kushindana na hawa makocha wengine epl ambao tayari wapo #completed #package kimbinu
Ila kwa vile ni interm coach tusubiri tuone nini kitajiri
zaidi muda ni mwalimu sahihi
Tusiwe wepesi kusifu pia tusiwe wepesi kukosoa hadi tuone kipi kafanya kwa mazingira kaachiwa team iko disorganised sana anahitaji muda kufanya kitu kama kweli anahitaji changes
Fredie sio mgeni kwenye career ya ukocha licha ya kwamba hajawahi kustand kama head coach wa senior team alikuwa huko youth team under15 baadae under23 hivyo ana kitu
Kitu cha msingi anatakiwa kujenga ni ushawishi na kuwa muwazi ( #transparent) kimbinu kiuchezaji najua kwake language barrier haipo
Kama ilivyokuwa kwa Unai wachezaji hasa hawa vijana kama Saka,willock waliwahi nukuliwa kwamba aliwasaidia sana kutafsiri nini kocha anahitaji kipindi akiwa msaidizi
Hii ni ishara nzuri kukubalika kwa wachezaji isitoshe huyu ni arsenal #DNA anajua #identity ya club tangu 1998 adi 2007alipokuwa arsenal kama mchezaji
Hofu yangu ni #experience tu (uzoefu) kushindana na hawa makocha wengine epl ambao tayari wapo #completed #package kimbinu
Ila kwa vile ni interm coach tusubiri tuone nini kitajiri
zaidi muda ni mwalimu sahihi
