Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

asanteee
20191129_002102.jpeg
 
Pamoja na kocha Unai kuwa ana matatizo yake, Ila wachezaji wetu naona wapo lazy sana wanapooza mpira, wanapoteza pasi kizembe .Kama hawana cha kupoteza.

Sasa sijui haya nayo ni maelekezo ya kocha. Ukimtoa Auba/Xhaka/Tierney kwenye kikosi kilichoanza sidhani kama kuna aliyebaki ambaye ni mzuri kiviile.
Huo ni mpangomkakati mzee
 
Unai ana zali hapa anaweza pata droo,mimi natamani game iishe hivi hivi.
 
Kulikua na uwezekano wa kumaliza hii gemu mapema sana, tulipata nafasi nyingi za wazi ila hazikutumiwa ipasavyo, hapa napo tumlaumu kocha?
 
Back
Top Bottom