Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,973
- 42,209
Ahahaaaaaaa
Wewe hivi unavuta bangi?
Wewe hivi unavuta bangi?
Alivyo na gundu hii mechi watapigwa au sare
Yaani ukiona ka post msimamo au matokeo , nenda kaweke hata figo , lazima wasishinde
TupigwePamoja na magumu yote tunayoyapitia, Mwenyezi Mungu tupe ushindi leo
NipooooooooUmepotelea wap wewe
Mwanangu una gundu kichizi.



Mpira unaangalia lakini au unaleta mahaba?Kila la kheri Frankfurt..![]()
Naona Valencia wameshakuvuruga ubongoKila la kheri Frankfurt..![]()
Pamoja na kocha Unai kuwa ana matatizo yake, Ila wachezaji wetu naona wapo lazy sana wanapooza mpira, wanapoteza pasi kizembe .Kama hawana cha kupoteza.Nilichopenda leo timu ipo active, wachezaji wanajituma kilichokosekana hakuna link kwenye ushambuliaji. Akipatikana mtu kama Ozil au Ceballos pale mbele kutakuwa na attacks za kueleweka.
Unai asipofukuzwa na bodi atafukuzwa na mashabiki kutoingia uwanjaniUwanjani una mapengo ya kutosha, this is a lesson to the club owner
Mkuu hili tatizo lipo kwenye timu yetu Unai kuvuruga timu kuanzia kwenye dressing room mpaka uwanjani so hakuna wachezaji watakaojitoa kwa 100% na haya ndio matokeo yake sasaPamoja na kocha Unai kuwa ana matatizo yake, Ila wachezaji wetu naona wapo lazy sana wanapooza mpira, wanapoteza pasi kizembe .Kama hawana cha kupoteza.
Sasa sijui haya nayo ni maelekezo ya kocha. Ukimtoa Auba/Xhaka/Tierney kwenye kikosi kilichoanza sidhani kama kuna aliyebaki ambaye ni mzuri kiviile.