OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Wapi Pepe Kale ..ana
Shot on Target ngap??
Shot on Target ngap??
Umepotelea wap weweMchukueni Pochettinho nyie acheni ufala
Duniani hakuna kocha kilaza kama emeryNa maboss wa Arsenal hawajazoea haya maisha ya kutimuatimua makocha, what if akaja kocha mwingine kilaza zaidi ya Emery mtafukuza tena.
Na kweli kwa sasa sioni kocha atakayekuja kuwapa makombe kwa haraka ndani ya mwaka labda mmpate Conte, Gadiola. Even Arteta atahitaji kujenga timu zaidi ya miaka 3.
Huyo ARV ana gundu sijapata kuona!.. Yaan kila akipost matokeo humu lazima wasawazishe na kuiacha timu yake ikiwa taabaniHahaha usiwe unapostigi aise![]()
Ukipostigi tu mambo yanaharibika..
Arteta ni kamali kwa sasaWewe Aaron binafsi unamtaka kocha gani kati ya pochettino au Arteta? Unaedhani kwamba atawapa makombe
Jamaa hajawahi kuleta msimamo wake ukabaki vile vileHuyo ARV ana gundu sijapata kuona!.. Yaan kila akipost matokeo humu lazima wasawazishe na kuiacha timu yake ikiwa taabani
Sasa mfano wewe mnyaturu wa mabepwande ni maamuzi gani magumu utachukua?Half Time:Emirates stadium
Arsenal shots 3 on Target 1
Southampton shots 10 on Target 2
Kum******* naapa hii bodi ya Arsenal kama kama kama wanakitu na Unai ni heri watuambie Mashabiki tuchukue maamuzi magumu





Arsenal hii haiitaji miaka minneKwa kuwa nimeona mpira wa spurs chini ya poch. Je Mashabiki mko tayari kumvumilia pochettino miaka 4 ajenge timu kali ya kuchukua ubingwa?

