Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cha msingi unai atoke kwanza alichonikera anaharibu wachezaji makali ya ozili chini ya Wenga hatuyaoni tena, makal ya Torreira wakat anafika hatuyaoni tena, xhaka boom mwenyewe hatuelewi anacheza nini yaani imekuwa tafran asije akawaharibu akina Gabriel Martinel aondoke tuu bora hata Zahera
 
UNAI EMERY

kila mwanadamu ana muda wake wa kupitia zinazoitwa nyakati .kila anachokifanya kinaonenakana kama ana jenga ghorofa kw msingi wa mchanga.hakuna jema linaloonekana kuishi ktk shina la moyo wake.

Nyakati anazapotia Unai hakuna kwa sasa anayemwelewa,anayemwamini si mashabiki si wachezaji.Zaidi anaonekana ni mwanadamu anayezidi kuipoteza dira ya maisha ya Arsenal ndani ya epl.

arsenal ya wenger ilicheza mpira ilikuwa kama taswira ya Barselona ile ya master plan Pep.Timu ilikuwa inacheza soka maridadi la kuvutia pasi nyingi fupi fupi kutoka golini adi eneo la wapinzani,wachezaji wake walikuwa na vinasaba vinavyofanana si beki au kiungo pasi zilipigwa kwa ufundi.kuifunga Arsenal iliwezekana lakini kuizidi arsenal umiliki wa mpira ndani ya Emirates ulitakiwa kuja na wachezaji toka sayari nyingine.leo arsenal haitamaniki kuitizama kuna muda natamani mani city iwe arsenal ni ngumu kujua arsenal inataka nini ndani ya Epl


TATIZO UNAIIIIIIII FALSAFA ZAKE.ameshindwa kuijenga timu huu ni msimu 2 .kila siku arsenal inaonekana mpya.ingawa wachezeji wale wale

xhaka hatupo naye tena tmemutoa kafara kisa ushezi wa huyu mpuuzi

bellerin anaesifika kwa kasi ya jet.leo hana kasi teena

Oziliiiiiiii kocha haoni faida zakeee

Toreirra wa urugay si

Am sory my captain laurent uliona mbali ukaamua kusepa big up ulichukua maamuzi sahihi

wachezaji hakuna tena ile kupapambana wanacheza kwa sababu za noti pale Emirates

Emery ameamua kuishi hivi amegoma kubadilka.naziona siku zake zmebaki chache

OZILI"YOU ARE NOT ACOACH"
 
We have been asked to share:

There will be an #EmeryOut protest in the stands tonight when Arsenal face Frankfurt in the Europa League. #AFC
IMG_20191127_230922.jpeg
 
UNAI EMERY

kila mwanadamu ana muda wake wa kupitia zinazoitwa nyakati .kila anachokifanya kinaonenakana kama ana jenga ghorofa kw msingi wa mchanga.hakuna jema linaloonekana kuishi ktk shina la moyo wake.

Nyakati anazapotia Unai hakuna kwa sasa anayemwelewa,anayemwamini si mashabiki si wachezaji.Zaidi anaonekana ni mwanadamu anayezidi kuipoteza dira ya maisha ya Arsenal ndani ya epl.

arsenal ya wenger ilicheza mpira ilikuwa kama taswira ya Barselona ile ya master plan Pep.Timu ilikuwa inacheza soka maridadi la kuvutia pasi nyingi fupi fupi kutoka golini adi eneo la wapinzani,wachezaji wake walikuwa na vinasaba vinavyofanana si beki au kiungo pasi zilipigwa kwa ufundi.kuifunga Arsenal iliwezekana lakini kuizidi arsenal umiliki wa mpira ndani ya Emirates ulitakiwa kuja na wachezaji toka sayari nyingine.leo arsenal haitamaniki kuitizama kuna muda natamani mani city iwe arsenal ni ngumu kujua arsenal inataka nini ndani ya Epl


TATIZO UNAIIIIIIII FALSAFA ZAKE.ameshindwa kuijenga timu huu ni msimu 2 .kila siku arsenal inaonekana mpya.ingawa wachezeji wale wale

xhaka hatupo naye tena tmemutoa kafara kisa ushezi wa huyu mpuuzi

bellerin anaesifika kwa kasi ya jet.leo hana kasi teena

Oziliiiiiiii kocha haoni faida zakeee

Toreirra wa urugay si

Am sory my captain laurent uliona mbali ukaamua kusepa big up ulichukua maamuzi sahihi

wachezaji hakuna tena ile kupapambana wanacheza kwa sababu za noti pale Emirates

Emery ameamua kuishi hivi amegoma kubadilka.naziona siku zake zmebaki chache

OZILI"YOU ARE NOT ACOACH"
Umeongea ukweli mtupu

Ambao kila mwana Arsenal duniani anaamini hivo

Ndio maana Leo Mashabik wameandaa banter lenye maneno

UNAI OUT

NO TACTIC

NO FORMATION

kiukweli Unai ni kocha wa ovyo sana

Nilisema mwanzon baada ya kwenda Anfield na kucheza Ku defence huku akianza na vitoto mech kama ile

Pale niligundua hakuna kocha mule

Kila mechi anakuja na mfumo mpya ,

Mech ya anfield hadi Klopp alimshangaa inakuwaje unakuja kucheza Diamond formation(4-3-1-2) mfumo ambao haku upractice kwenye Pre season

Anakuja kufanyia majaribio kwenye mechi muhimu ,

Huyu jamaa ana rekod chafu ya kutoshinda away match hata 1 akiwa na sevilla

Ni kocha muoga sana na ana tactic dhaifu sana

Akiwa Spain hakuwahi kumfunga mou na pep katika mech 30 .
 
Aaron inshort arsenal haina kocha toka wenger aondoke huyu jamaa aliiharibu psg yenye kila aina ya wachezaji.know yupo kwetu ndo kaidimiza

naipenda arsenal sana tatizo huyu ZOMBIE UNAIIII
 
Aaron inshort arsenal haina kocha toka wenger aondoke huyu jamaa aliiharibu psg yenye kila aina ya wachezaji.know yupo kwetu ndo kaidimiza

naipenda arsenal sana tatizo huyu ZOMBIE UNAIIII
Huyu jamaa nahisi hata vyeti alifoji

Miezi 18 hana first eleven hajapata mfumo sahihi, hana identity inayomtambulisha ni kocha wa aina gani

Ni muoga had kwa middle table team iwe away au home

Alipokuwa sevilla aliwahi kumaliza msimu bila kushinda Away
 
From || Both Sevilla & Milan have shown strong interest in Mohamed Elneny, with Monchi having had discussions with his agent already, yesterday.
 
MASHABIKI LEO WATAINGIA NA BANGO LENYE UJUMBE WA EMERY AACHIE TIMU

HOJA KUU NI ZILE ZILE AMBAZO HATA ASIYEMFATILIAJI WA MPIRA ANAZIJUA

1 .HANA TACTIC

2 .HANA MFUMO
IMG_20191127_230922.jpeg
Screenshot_2019-11-27-23-08-42.jpeg
 
Mail: Wolves players are growing increasingly concerned at the prospect of Nuno leaving for Arsenal if the opportunity presented itself.
FB_IMG_1574946477302.jpeg
 
According to Goal, despite being in charge for more than 18 months now - Emery has failed to build up any sort of bond with his players. There is no loyalty there, none of them will shed a tear if he is replaced. And the same goes for the majority of those who work at the club.
IMG_20191128_171901.jpeg
 
Current Wolves head coach Nuno Espirito Santo has not received an approach by Arsenal, and has said that he would not welcome one. [@TimNash_1] #afc
 
Back
Top Bottom