Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

According to the Daily Mail, sacking the manager before the end of the season would cost the Gunners at least £4m, however, letting him go in the summer would cost nothing.
 
EMERY ANABAKI KUWA MOJA YA MAKOCHA WA OVYO KUWAHI KUTOKEA KWENYE MCHEZO WA SOKA

Kusema kweli sijawahi kuona kocha wa ovyo kama emery toka nizaliwe

Kocha ana mapungufu yote

Ana poor tactic

Poor team selection

Poor team substitution

Poor communication

Anachezeshwa WACHEZAJI out of position

Ana mabifu na wachezaji

Hana identity philosophy

Kila mechi anakuja na Mifumo mipya

Takwimu zinasema mech 7 za mwisho kabadili mifumo ya kila aina

Hana first eleven HADI sasa na ana miez 18

Mou ana mech 2 tu spurz tayari ana kikosi cha kwanza na mfumo wa 4-2-3-1

Emery kila mech anakuja na mfumo mpya ,tactic mbovu

EMERY ANABAKI KUWA MOJA YA MAKOCHA WA OVYO KUWAHI KUTOKEA DUNIANI
IMG_20191125_180903.jpeg
 
Wengi tunataka aondoke, actually kwa sasa Poch anafaa kuwa caretake hadi summer.

Swali mmejiuliza compensations atakazopewa na staff yake nzima. Running a club sio kama kuendesha genge la nyanya jamani. Tukumbuke arsenal sio timu ya kutoa toa pesa ovyo, Stan sio kama Roman kwamba akikasirika anatoa €20 mill kutafuta mtu wa kum-replace kocha na jopo lake.

Tunapoomba atimuliwe, tuombe kwanza Stan atoe pesa za kumlipa na watu wake na alete nyingine ya kumpa caretake. Not easy, especially with the Gooners!!
Umeongea sahihi kabisa

Wengi wanadhan emery atalipwa ile £6m tu, tukumbuke ana genge lake

Dany levy kumtimua poch na bench lake ime mcost karibu £12m ,na kuingia mkataba mpya na mou inemcost karibu £15m
 
Binafsi siamini kama Nuno atawapa ubingwa wowote. Ila naamini mtacheza mpira mzuri sana wenye kasi na nguvu.

Nuno akija Arsenal hatakuwa Nuno yule wa wolves. Mambo yatabadilika presha ya mashabiki, team kubwa, malengo makubwa.

Aisee tafuteni kocha aliyewahi kufundisha team kubwa, chini ya presha kubwa ya mashabiki. Anzeni na Alegri. Nuno ni try and error.
Unachosema ni kweli ,na most of fans wanasema hivo
 
To be clear: Arteta is second option after Nuno. Nuno could join either this season or next summer and if the club sack Emery and didn't appoint any manager, Ljungberg will be the new manager until the end of the season. #afc
 
Nafikiri hukukusudia kumtaja Unai hapo mkuu
hapana, ni bora sharii kuliko shari kamili, yani hawa board badala ya kutatua matatizo ambayo ni ya muda mrefu wanataka kuleta solution za siku mbili tatu then tatizo linarudi pale pale.

Nuno ni bidhaa kama unai tu, hakuna tiba hapo ni painkiller tu huyo.
 
hapana, ni bora sharii kuliko shari kamili, yani hawa board badala ya kutatua matatizo ambayo ni ya muda mrefu wanataka kuleta solution za siku mbili tatu then tatizo linarudi pale pale.

Nuno ni bidhaa kama unai tu, hakuna tiba hapo ni painkiller tu huyo.
Hivi unai unamjua au unamskia

Hivi kuna kocha wa ovyo kuzidi unai?
IMG_20191127_004547.jpeg
 
MIDFIELDERS WATU MUHIMU MNO KWENYE SOKA

Midfielders hawa ni sehemu muhimu mno kwenye team yeyote ile duniani viungo ndio hutengeneza patterns bora kimchezo kati ya backline na forward line

Viungo ndio muhimili wa team na flow yake kiuchezaji kwenye sifa zote kimchezo yani defending na offensive attributes

Lakini viungo wapo wengi wakigawanyika kwenye aina kuu mbili ambazo ni attacking midfielders na holding midfielders pia viungo wamegawanyika kulingans na nafasi positions kuna central midfielders na wide midfielders

Kwa kuzingatia hayo juu kuna viungo wafuatao

1.DM ( defensive midfielder)

Huyu ni kiungo ambae kazi yake kuu ni kupokonya mipira kwa lugha ya wenzetu ball winning player pia kulinda backline yake

2.BOX TO BOX
Hawa ni viungo ambao kimsingi wanacheza roles mbili kwa wakati mmoja au ni wachezaji wenye sifa zote kimchezo box fo box ni midfielders ambao team ikiwa na mpra usaidia kushambulia na ikipokonywa urudi chini kukaba

3.DEEP LYING PLAYMAKER
Huyu ni mchezaji ambae ni fundi kimsingi ana specialize zaidi na ball skills kuliko defensive ni viungo wenge vision maamuzi ya haraka wana open chanels za ushambuliaji

4.WINGER
Huyu ni kiungo mshambuliaji lakini anae tokea pembeni tunasema wide midfielders lengo kuu ni kusaidia ushambuliaji pitia pembeni mara nyingi utawakuta uko kwenye touch line wana pace ( kasi) dribbling skillis pass accuracy( usahihi wa pass zao) cross etc

5.KUNA ADVANCE PLAYMAKER
Hawa waitaliano wanawaita #register ni attacking midfielders ambao wapo very creative kutengeneza nafasi au kufunga kabisa na mara nyingine utumika kama second striker au deep lying striker wana vision passing ability kubwa na kadhalika

Hawa ni baadhi tu nafikiri tumepata picha kidogo ni kitu gani viungo wanahitaji kulingana na nafasi zao au majukumu

Nitaendelea wakati mwingine
IMG_20191127_004547.jpeg
 
Binafsi siamini kama Nuno atawapa ubingwa wowote. Ila naamini mtacheza mpira mzuri sana wenye kasi na nguvu.

Nuno akija Arsenal hatakuwa Nuno yule wa wolves. Mambo yatabadilika presha ya mashabiki, team kubwa, malengo makubwa.

Aisee tafuteni kocha aliyewahi kufundisha team kubwa, chini ya presha kubwa ya mashabiki. Anzeni na Alegri. Nuno ni try and error.
Kweli kabisa
 
MIDFIELDERS WATU MUHIMU MNO KWENYE SOKA

Midfielders hawa ni sehemu muhimu mno kwenye team yeyote ile duniani viungo ndio hutengeneza patterns bora kimchezo kati ya backline na forward line

Viungo ndio muhimili wa team na flow yake kiuchezaji kwenye sifa zote kimchezo yani defending na offensive attributes

Lakini viungo wapo wengi wakigawanyika kwenye aina kuu mbili ambazo ni attacking midfielders na holding midfielders pia viungo wamegawanyika kulingans na nafasi positions kuna central midfielders na wide midfielders

Kwa kuzingatia hayo juu kuna viungo wafuatao

1.DM ( defensive midfielder)

Huyu ni kiungo ambae kazi yake kuu ni kupokonya mipira kwa lugha ya wenzetu ball winning player pia kulinda backline yake

2.BOX TO BOX
Hawa ni viungo ambao kimsingi wanacheza roles mbili kwa wakati mmoja au ni wachezaji wenye sifa zote kimchezo box fo box ni midfielders ambao team ikiwa na mpra usaidia kushambulia na ikipokonywa urudi chini kukaba

3.DEEP LYING PLAYMAKER
Huyu ni mchezaji ambae ni fundi kimsingi ana specialize zaidi na ball skills kuliko defensive ni viungo wenge vision maamuzi ya haraka wana open chanels za ushambuliaji

4.WINGER
Huyu ni kiungo mshambuliaji lakini anae tokea pembeni tunasema wide midfielders lengo kuu ni kusaidia ushambuliaji pitia pembeni mara nyingi utawakuta uko kwenye touch line wana pace ( kasi) dribbling skillis pass accuracy( usahihi wa pass zao) cross etc

5.KUNA ADVANCE PLAYMAKER
Hawa waitaliano wanawaita #register ni attacking midfielders ambao wapo very creative kutengeneza nafasi au kufunga kabisa na mara nyingine utumika kama second striker au deep lying striker wana vision passing ability kubwa na kadhalika

Hawa ni baadhi tu nafikiri tumepata picha kidogo ni kitu gani viungo wanahitaji kulingana na nafasi zao au majukumu

Nitaendelea wakati mwingineView attachment 1274145
Vema
 
No immediate Unai Emery sack decision from Raul Sanllehi but time and patience are running out [@jamesbenge ]


Emery is believed to have returned to Spain after Saturday’s draw, while the squad were given Sunday and Monday off. There is acknowledgement at the club that things simply cannot go on as they are [@jamesbenge ]


It is increasingly becoming a matter of when not if Emery loses his job but no decision from the Arsenal hierarchy is imminent on Emery who is fast running out of allies at the Emirates.

Full story.
IMG_20191127_145000.jpeg
 
Wolves head off to Barga but in the pictures of the team boarding the plane there are none of Nuno travelling ...#afc #arsenal
 
Huyu kocha ni mbinafsi sana Kifikra, sio hilo hata kwenye usajili nasikia alikumbatia sana fikra zake kushirikiana na Sanllehi kuliko kumsikiliza mtalaamu Sven Mislintat aliyeletwa kwa kazi hiyo. Jamaa akaona wanataka kumpoteza katika maamuzi then akawaachia timu akatimka zake. Nimekuja kumuelewa huyu jamaa (Sven Mislintat) sasa hivi kuwa kufanya kazi na hawa watu labda uwe mpumbafu na ukalie akili zako.
Nilikuwa nikisema mimi hapa sven ni mtu makini na angetufaa kwa lile sakata bora tungemuacha muhindi watu wakawa wananipinga.
 
adidas are reportedly releasing an Arsenal “retro” collection in the 2020 including the infamous bruised banana shirt.
IMG_20191127_161829.jpeg
IMG_20191127_161827.jpeg
IMG_20191127_161825.jpeg
 
Back
Top Bottom