Half time 2-0 bila tunaongoza ,najua wengi mnakumbuka kilichotokea mechi na spurs lakini mkumbuke tulicheza "away a.k.a emirates" leo tuko nyumbani "villa park" lol.
Half time 2-0 bila tunaongoza ,najua wengi mnakumbuka kilichotokea mechi na spurs lakini mkumbuke tulicheza "away a.k.a emirates" leo tuko nyumbani "villa park" lol.
Hali si mbaya ila hawa madogo kwa mechi mbili zilizotangulia hii, siwezi kushangilia hadi filimbi ya mwisho. But as a matter of fact, we are doing fine!
Hali si mbaya ila hawa madogo kwa mechi mbili zilizotangulia hii, siwezi kushangilia hadi filimbi ya mwisho. But as a matter of fact, we are doing fine!
Dakika ambazo magoli ya Arsenal yamefungwa ni.............................Dak..........39........................R. Arshavin.....................Dak 45............S. Nasri.......................SOURCE.............MATCH TRACKER FROM THE MIRROR
1 - 3 mkuu:teeth: ila bado sijawa na confidence, kawaida yetu tunapoongoza tunabadilisha gea na ku-slow down? Inabidi Clichy ajitahidi kuzuia krosi za A. Young, naona huku ndio kunatokea hatari zote.