Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watakuja wanamlaumu kocha
Na wachezaji wao wa kuunga unga hao wanaowanunua miambili miambili . Hilo litimu hata aje klopp . Hakuna mafanikio hapo . Uzeni hilo genge la vibaka mlilonalo hapo pumbafu nyie
 
Kama atakuwa benchi katika hii mechi tusitegemee chochote kipya
Hii statement nliisema last week na bado huyu Mse*** kama ataendelea na kazi hii lazima tupate presha Arsenal kweli ana goli difference Negative?Negative?aisee tangia naishabikia Arsenal 20 years ago hili limenishtua sana moyo wangu
 
Kike Marin Anaripoti kuwa tayar Raul ameanza maongezi na Yule muhispania LUCHO AU JOSE ENRIQUE


Vyanzo vingine vinaripo kuwa kuna meeting itafanyika baadae usiku leo.


Baada ya Break tutakuwa na kocha mpya


IMG_20191109_221527.jpeg
 
KUTOKA CHANZO CHA KARIBU KABISA NA KLABU

Was told Raul held talks with Enrique last week, but some board members wanted to give Emery until Xmas, may change after that but Enrique is number 1 choice if we change...
 
KUTOKA KWA KIKE MARIN MTU WA KARIBU WA HABARI ZA ARSENAL

It’s confirmed: Raul Sanllehi is already in the hunt for a new head coach and has been in touch with Luis Enrique [@Kike_Marin_]
 
UNAAMBIWA KWENYE BODI KUNA WAPUMBAVU WANATAKA WAMVUMILIE HUYU KOCHA HADI X MASS

Was told Raul held talks with Enrique last week, but some board members wanted to give Emery until Xmas, may change after that but Enrique is number 1 choice if we change...
 
Back
Top Bottom