Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,165
Pulling hamna hapa
Kama wewe ulivyomwaga shudu hapaKuropoka ni ruksa si domo lako.
Timu isajili wachezaji wazuri, toeni hizo takataka.
Dogo tulia kwanza. Ushaenda kuona Abramovich anavyolike picha za Zahera.kwamba asenal wamekimbia na chupi mikononi hahahahah hi hatari![]()

Pulling hamna hapa
Yote kayataka UNAI yaani mpaka nyinyi ambao timu yenu haiwezi kushinda mechi tatu mfululizo mnatupiga mikwala.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊Mnawachezaji wazuri wenye vipaji shaka,toreira,guandouz,pepekale,laca,piere nk. bado hamueleweki na mmetuzidi point 3 ole wenu mpoteze game moja
Kweli kabisa hata sijui mwisho tulishinda mechi EPL lini nshasahauHana uwezo wa kupata matokeo mechi yoyote ya EPL, Wameshamdharau makocha wote wanajua ile ni pombe ya ngomani.
Hahahahahahahahah Mkuu umenichekesha sana eti.Vile tunajimwaga hapa leo mwendo wa kunyatia tuuuuView attachment 1246722
Walitamba sana hawa na comred kipepe wao watu tulikuwa tunawapimia wateleze tulete pichaHahahahahahahahah Mkuu umenichekesha sana eti.


Kumanina zake Unai.....Mamamamaaeeeeeeeee....



na bado mtakiona cha moto na timu lenu bovu