milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Ishu sio Ozil hapa ishu ni huyu choko kufundisha wakati hana mbinu kabisaLaca Auba Pepe hawajaanza leo? Tierney hajaanza? Ok nimekumbuka Ozil hakuwepo
Ishu sio Ozil hapa ishu ni huyu choko kufundisha wakati hana mbinu kabisaLaca Auba Pepe hawajaanza leo? Tierney hajaanza? Ok nimekumbuka Ozil hakuwepo
kwenye hizo game mbili mtaambulia point moja tuNext Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini
We kinabo siyo kila timu inamtaka Zahera. Kaangalie Abramovich anavyolike picha za Zahera instaEmery out halafu mtamchukua kocha gani atakayekubali kufundisha timu mbovu hivi.
Labda Mwinyi Zahara anaweza ila lazima ajifikirie mara mbili mbili
pole kwa kutoa sare na Crystal Palace mkuuWe kinabo siyo kila timu inamtaka Zahera. Kaangalie Abramovich anavyolike picha za Zahera insta
kwamba asenal wamekimbia na chupi mikononi hahahahah hi hatari 😃😃😃😃😃Wakakimbia na chupi mkononi? Au sisi ndiyo tumekimbia na chupi mkononi?
Arsenal ya EPL inaboa.
Matusi ya nini mkuu?.Wasenge nyie
vip wamekuchania mkekaWasenge nyie
Unai asifukuzwe ARSENAL, kwa mechi mbili zijazo na kwa uwezo wake atajievaluate mwenyewe kama anafaa kwenye nafasi yake.Tuna kocha anayetengeneza matatizo ya kujitakia,tuna kila kitu lkn tunafanya vibaya sababu ya mabeef yake ya kipuuzi bora tufungwe na kama ikiwezekana jumatano naye Liverpool tupige.
Hii ya Liverpool tuitoe tuna mechi home na wolves then Leicester awayUnai asifukuzwe ARSENAL, kwa mechi mbili zijazo na kwa uwezo wake atajievaluate mwenyewe kama anafaa kwenye nafasi yake.
Next stop ... Liverpool away
Then ...Leicester away
#Unai in
In unai we trust
Hana uwezo wa kupata matokeo mechi yoyote ya EPL, Wameshamdharau makocha wote wanajua ile ni pombe ya ngomani.Hii ya Liverpool tuitoe tuna mechi home na wolves then Leicester away
Hahahahahaha tatizo tulishawaambia kuwa mikeka yenu muwe munampa Arsenal EUROPA sio katika ligi...hahahahah ona sasa unaanza kupagawa...Wasenge nyie
Arsenal haijatoa sare na Crystal Palace. Crystal Palace ndiyo imetoa sare na Arsenal.pole kwa kutoa sare na Crystal Palace mkuu