Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu yetu ina wachezaji wazuri lakini haina muunganiko wa kitimu,na kocha ndiye mwenye jukumu la kuunganisha timu lakini kafeli......

EMERY OUT.
 
Kabla ya mechi tulikuwa nafasi ya 16 sasa tunawapumulia hapo nyuma.
Screenshot_20191027-212905_All%20Goals.jpeg
 
Next Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini
 
Naona vigagula mmekuja kuwanga ,

Tupo pamoja kifupi matokeo haya nayapenda
Acha uongo wewe. Kila msimu Arsenal iko hivi. Mimi sioni utofauti. Mtafanya vizuri mkinunua wachezaji wa maana.
 
Next Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini
Laca Auba Pepe hawajaanza leo? Tierney hajaanza? Ok nimekumbuka Ozil hakuwepo
 
Timu yetu ina wachezaji wazuri lakini haina muunganiko wa kitimu,na kocha ndiye mwenye jukumu la kuunganisha timu lakini kafeli......

EMERY OUT.
Emery out halafu mtamchukua kocha gani atakayekubali kufundisha timu mbovu hivi.
Labda Mwinyi Zahara anaweza ila lazima ajifikirie mara mbili mbili
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Back
Top Bottom