joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,860
- 39,613
Mimi nilitaka tufungwe.
Mimi nilitaka tufungwe.
Naona vigagula mmekuja kuwanga ,Mnateseka.
Mna kila kitu? Mnachekesha sana..sasa kama mna kila kitu City na Liverpool watasema nini. Mnakusanya watoto wa mtaani huko halafu mnasema mna kila kitu, pambaf.
Mnajiaminisha ujinga na kila msimu mnasema mna timu nzuri. Na kwa taarifa yenu hata top 5 hamuingiiTimu yetu ina wachezaji wazuri lakini haina muunganiko wa kitimu,na kocha ndiye mwenye jukumu la kuunganisha timu lakini kafeli......
EMERY OUT.
Acha uongo wewe. Kila msimu Arsenal iko hivi. Mimi sioni utofauti. Mtafanya vizuri mkinunua wachezaji wa maana.Naona vigagula mmekuja kuwanga ,
Tupo pamoja kifupi matokeo haya nayapenda
Leo Laca kacheza? vipi kuhusu combination yake na Auba?
Wazee wa visingizio leo mnakuja na kipi tena?
Laca Auba Pepe hawajaanza leo? Tierney hajaanza? Ok nimekumbuka Ozil hakuwepoNext Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini
Emery out halafu mtamchukua kocha gani atakayekubali kufundisha timu mbovu hivi.Timu yetu ina wachezaji wazuri lakini haina muunganiko wa kitimu,na kocha ndiye mwenye jukumu la kuunganisha timu lakini kafeli......
EMERY OUT.