Arsenal (The Gunners) | Special Thread

fukuzaaaaaaaaaaaaaa
Niliwaambia ni swala la muda tu


Shukrani ziende kwa Edu Jana amebaki na MASHABIKI baada ya mechi kwa dk 15


Hawez kufika x mass huyu kocha


Jana hiyo hiyo aliwekwa kikao na Kina Raul & Edu

Kiukweli hakuna anayependezwa na anavyoiendesha timu

Ameivuruga kuanzia kwenye Dressing room had kwenye pitch


Poor team selection


Poor tactic


Hana first eleven had sasa


Kila mechi amegeuza ya majaribio
 
Pukujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....goooooooooooo
 
Uruguayans are not happy with the way Emery is using Torreira...

If Unai Emery isn't gone before January, Lucas Torreira should leave in the upcoming transfer window. He is basically wasting important years of his career at Arsenal now.

Torreira arrived as one of the most promising No6's in Europe, but has since been misused by Emery.
 
Kinachonikera ni kuona wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana na kucheza mchezo wa kujituma kwenye pitch lakini kwakuwa formation ni mbovu mwishowe tunaambulia patupu...
 
Ww wapi na wapi mshabiki wa Arsenal, washabiki wa Manyumbu utawajua tu
Wewe na PATEL nani anajua mpira?

Ulishawahi kuwa hata kocha wa UMITASHUMTA?

KLop alipewa muda na PATEL apewe muda ajenge timu ya hataree.

Tupo nyuma ya Emery tunaamini misimu 5 ijayo timu itakuwa fire
 
Tunafungwa na vibonde....yaana afadhali AW.
 
Kocha shoga huyu.
 
Katika hao uliowataja yupi amewahi kufunga goli tano katika mechi moja
Kweli hii itakuwa adhabu kubwa maana anaenda kumkuta Odoi, Willian, Pedro, Mason Mount, Pulisic. Hapo lazima awe muokota mipira
 
We ni kilaza kushabikia timu ya wafu asenane
 
Pigaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasassssssa
 
Na iwe mwanzo na Mwisho kuleta hizo kwato na kidomodomo chako kule jukwaa la klabu kubwa chelsea . Nyang'au mkubwa wewe . Wewe pamoja na huyo mjinga mwenzio Dully Jr.
 
Mbona ufaransa uko pepe akiwa lile alikuwa anakiwasha sana migoli yakutosha sasa tatzo nn saiz apo asenane
 
Huwezi comment bila kuweka matusi?
Na iwe mwanzo na Mwisho kuleta hizo kwato na kidomodomo chako kule jukwaa la klabu kubwa chelsea . Nyang'au mkubwa wewe . Wewe pamoja na huyo mjinga mwenzio Dully Jr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…