mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 670
- 1,132
Nmeona mahali kuna possibility kubwa ya lacca kuanza leoPossible lineup kwa 90%View attachment 1239971
Nmeona mahali kuna possibility kubwa ya lacca kuanza leoPossible lineup kwa 90%View attachment 1239971
Karibu sana mkuu,Kaka Aaron Arsenal naomba unipokee katika jukwaa la timu yangu Arsenal... Kwani nmekuwa nkkuona kama Kiongozi katika jukwaa hili kaka, Hello Guyz mii mgeni wenu
Upo sahihi , ni muda muafaka sasa holding ,tierny waanze kuchezaLaca asianze. Badala yake Ozil akae namba ya Saka. Means upande wa kushoto atakuepo Tierney na Ozil ambao wote hawahofii kuingia ndani ya box.
Kwa vision mbovu ya jamaa utakuta Kolasinac yumo. Xhaka yumo. Sokratis yumo. Guendouz yumo.
Kapona vzr tu, ila sioni akicheza ,bado saka Leo ataanza , kwa emery laca tutamuona labda alhamis maana ratiba ni ngumu, tunacheza jtatu , tunapumzika siku 2 tunaingia mzigoni tenaNmeona mahali kuna possibility kubwa ya lacca kuanza leo
Many Thanx brodaKaribu sana mkuu,
Humu tupo wengi tu , karibu tujadili na kutoa maoni kuhusu hili chama letu
Kikubwa Leo ushindi tujikite pale juu
😎😎😎😎😎😎😎😎Laca asianze. Badala yake Ozil akae namba ya Saka. Means upande wa kushoto atakuepo Tierney na Ozil ambao wote hawahofii kuingia ndani ya box.
Kwa vision mbovu ya jamaa utakuta Kolasinac yumo. Xhaka yumo. Sokratis yumo. Guendouz yumo.
Bila kumsahau Matteo GuendouziEnzi hizo yaani lilikua linatandazwa soka hadi Abramovich akamfukuza Mourinho kwakua timu ilikua inashinda lakini mpira hauvutii macho.
Hapo timu inahitaji wachezaji wanaoweza kukaa na mpira muda mrefu. Saka, Pepe, Lacazette, Ozil, Ceballos. Aubameyang kwa mbaaali.
La sivyo leo kazi itatushinda mapema.

#AFC #BallonDor

Laca asianze. Badala yake Ozil akae namba ya Saka. Means upande wa kushoto atakuepo Tierney na Ozil ambao wote hawahofii kuingia ndani ya box.
Kwa vision mbovu ya jamaa utakuta Kolasinac yumo. Xhaka yumo. Sokratis yumo. Guendouz yumo.




Nilikwambia Kolasinac ndo LB na kwenu huyo ndo best katika hiyo nafasi.Arsenal nimeimiss sana kuiona uwanjani duh!...Wiki mbili zimepita.
Ushindi muhimu leo, ila tukifungwa nalala na viatu.![]()
Kocha ni mbishi huyo, We hujui alikuwa anapangiwa kikosi PARIS.???Nilikwambia Kolasinac ndo LB na kwenu huyo ndo best katika hiyo nafasi.