Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Namchukia huyu Mbwa anaitwa Emery, kwa nini wanalivumilia?
Kwa sababu wakati anafanyiwa interview, aliweka wazi kwamba he believes in young generation and he believes in player with team DNA (home grown). Japo those players will have to prove themselves.

Wapeni vijana chance aisee.

Jinsi sisi tulivyo unhappy na selection ya willock, lipo kundi kubwa ambalo wapo happy na selection hiyo.

Let the coach do his job
 
Dani Ceballos was never an Emery signing in fact he's never proposed any signing to Arsenal board apart from his floppy boy Denis Suarez.

Just like Özil his agenda against Ceballos has started. Dani wants a permanent move but this guy could be a stumbling block. #EmeryOut
 
Haijalishi matokeo tutakayo yapata, emery anazingua inahtajka awekwe kitumbo joto ili abadilike, atatualibia timu
 
Kwa sababu wakati anafanyiwa interview, aliweka wazi kwamba he believes in young generation and he believes in player with team DNA (home grown). Japo those players will have to prove themselves.

Wapeni vijana chance aisee.

Jinsi sisi tulivyo unhappy na selection ya willock, lipo kundi kubwa ambalo wapo happy na selection hiyo.

Let the coach do his job

We are in fifth place, our competitors have won last weekend matches, sisi tunatakiwa kushinda. You cannot win epl match with the kindergarten of willock like
 
We are in fifth place, our competitors have won last weekend matches, sisi tunatakiwa kushinda. You cannot win epl match with the kindergarten of willock like
Mimi basi ananikera zaidi kutonchezesha torreira kuliko anavyonikera juu ya ozil. Let's wait and see but end of day je is our coach as of now
 
Kikosi kilicho achwa kikicheza na hiki kilicho anza leo kitatokea nn

Martinez
Bellerin, mavroponous, holding, tierney
Torreira, cabellos, ozil
Smith, lacca, martinel
 
Mimi mwenyewe nimeumia kwa hii lineup, ila tukumbuke falsafa ya bodi ya Arsenal
Si kutumia pesa nyingi ili timu iwe bora Bali nikutumia timu kuingiza mapato nakubwa, hivyo kulingana na hapo nyuma team kufanya vibaya na kufatia washabi na wapenzi kutaka team iwe Bora, msimu huu bodi imelazimika kufungua mkoba kusajiri kidogo. Ila wakampa kocha masharti ya kuwezesha kikosi chapili ili msimu ujao tusitumie pesa nyingi kusajiri bali tuwatumie wale wa kikosi cha pili. Ni hivyo tu. So hapa unaweza kuona kocha analazimisha kuipeleka team top4. Na huku msimu ujao tusilazimike kusaji kutoka nje ya ambao tukonao kutoka kikosi cha pili.
 
Kikosi kilicho achwa kikicheza na hiki kilicho anza leo kitatokea nn

Martinez
Bellerin, mavroponous, holding, tierney
Torreira, cabellos, ozil
Smith, lacca, martinel
umewaza mbali sana mkuu
 
Mm mkuu inaniuma zaidi ya sana, style ya uchazaji wa Ozil inarahisisha sana kufunga magoli, ata akiondoka nitazidi kumpenda huyu mchezaji
Ishu ya Ozil inaniuma sana, hivi anamchukuliaje Ozil huyu muhindi? Yaani kwake Willock > Ozil.
 
Back
Top Bottom