Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hujawahi kupost ujinga wako mkashindaMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
Tayari hii mech hamshindi
Hujawahi kupost ujinga wako mkashindaMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
HahahahhahahaaaaMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
Ww jamaa una gundu ,hujawahi kuleta ujinga wakoMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
Hahahaahhaahahhaahhahah aiseeeeehMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
Kwa mujibu wa hiyo screenshoot yako hamjashinda mechi 5 mfululizo na hii ni ya 6 hahahahahaah yaani mna miezi hamjui ushindi una rangi ganiMpoooooo tunawanyooshea mwanaume wenu hukuView attachment 1239413
Chini ya Unai Emery tusahau ubingwa ndugu.Masihala tu tunawezajikuta tunapigania ubingwa
Mkuu inaweza tokea kama bahati ya mtende kuota jangwaniChini ya Unai Emery tusahau ubingwa ndugu.
Hawa jamaa wapo compact sana. Bila kuwa wabunifu leo naona tutapata tabu kuwafungua kupata nafasi za kufunga.Sheffield United, 3 5 2, ngoja tuone counter move yetu kwa timu inayojaza viungo.
Sheffield United
EPL mzunguko 9
Bramall Lane
Anthony Taylor
Saa 22:00 EAT
|Enzi hizo yaani lilikua linatandazwa soka hadi Abramovich akamfukuza Mourinho kwakua timu ilikua inashinda lakini mpira hauvutii macho.Hawa jamaa wapo compact sana. Bila kuwa wabunifu leo naona tutapata tabu kuwafungua kupata nafasi za kufunga.
Kama tutaanza na Mido za Xhaka, Guendouz, Lt11 sitegemei jipya sana.
Hizi zilikua timu nyepesi sana enzi tunacheza mpira wetu wa kitabuni.
Kwa uwezo wa unai ulipofikia kwa hiko kikosi wala sikupingiPossible lineup kwa 90%View attachment 1239971
Yap kwa tunavyomjua hadi sasa kuna 90% akapanga hivo, watu kama Ozil, laca ,bellerin bado sion wakianza LeoKwa uwezo wa unai ulipofikia kwa hiko kikosi wala sikupingi