Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki inaaminika kuanza mazungumzo na Arsenal juu ya kumsajili kwa mkopo mwezi Januari kiungo Mesut Ozil, 30. (Takvim, via Sun)


Ozil ana wasi wasi kuwa hatacheza tena katika klabu ya Arsenal. (Mirror)
IMG-20191003-WA0017.jpeg
 
Ishu ya Ozil kutocheza inaonekana km kuna maagizo kocha anapewa kutoka kwenye uongozi ili kupunguza zile bonuses wanazomlipa,

Maana Mshahara wake ni kama unawaumiza vichwa sana bodi. Walikurupuka kipindi kile na hata Sanchez angesema abaki thn adai kulipwa pesa zaidi ya Ozil angepewa, sio kitu cha kawaida Ozil kupigwa bench hadi mechi za Carabao na Europa.

Mfano mzuri angalia Ramsey walishindwana ishu ya mshahara wakamuacha thn leo tunaanza upya kumtafuta Ramsey mwingine.
 
David Luiz will arrive in Rwanda today with his fiance and mother as part of the Arsenal's partnership with Visit Rwanda. He will meet young Rwandan players and fans in Kigali during his two-day stay and will also visit the Kigali Genocide Memorial to pay respects to the victims.
Luiz: "I have heard wonderful things about the beauty of Rwanda and its people. Football has the amazing power to bring communities together and drive social change, and the Arsenal shirt has a unique ability to reach fans all over the world.”
 
Ishu ya Ozil kutocheza inaonekana km kuna maagizo kocha anapewa kutoka kwenye uongozi ili kupunguza zile bonuses wanazomlipa,

Maana Mshahara wake ni kama unawaumiza vichwa sana bodi. Walikurupuka kipindi kile na hata Sanchez angesema abaki thn adai kulipwa pesa zaidi ya Ozil angepewa, sio kitu cha kawaida Ozil kupigwa bench hadi mechi za Carabao na Europa.

Mfano mzuri angalia Ramsey walishindwana ishu ya mshahara wakamuacha thn leo tunaanza upya kumtafuta Ramsey mwingine.
Mimi awali nilihisi hivo, ila Mbona toka summer Ozil angeweza kusepa hata kwa loan,

Sidhan kama uongoz unaweza kufanya hivi,

Klabu imeamua kumtoa loan na bado italipa zaid ya £200k kwa wik ,

Hata akiwa PSG ,Unai aliwahi kuwafanyia hivi hiv anavyomfanyia ozil , alimfanyia hiv moura hadi klabu ikamuuza .
 
So far in the Premier League for Arsenal, Pépé ranks 1st in assists, big chances created, key passes & successful dribbles. I’m convinced the fans doubting his ability only watch Arsenal on MOTD. It’s quite obvious he’s a special talent. Will be unstoppable once he’s settled.
 
Wakuu, wale Shelfield utd wanaweza kutusimamisha kwa jinsi walivyocheza na liverpool pale Kwao,mpira wanaucheza sio kubahatisha, pia kwa mbinu za huyu kocha, yaani kila mechi kwetu ni final ukizingatia itakuwa away match.

Nategemea kuona tunazidiwa possession,ubunifu na kila kitu mechi nzima, mwanzo hadi mwisho.Japo tunaweza tuka-win ugly coz ndio tulichobakiza nowadays.
 
Torreira

You have to continue working hard & whether I’m playing in the starting XI or from the bench I want to give my all for the team. That’s the kind of player I am

I like to give 100 per cent for the shirt to help my team-mates & to give the fans something to cheer about .
 
Wakuu, wale Shelfield utd wanaweza kutusimamisha kwa jinsi walivyocheza na liverpool pale Kwao,mpira wanaucheza sio kubahatisha, pia kwa mbinu za huyu kocha, yaani kila mechi kwetu ni final ukizingatia itakuwa away match.

Nategemea kuona tunazidiwa possession,ubunifu na kila kitu mechi nzima, mwanzo hadi mwisho.Japo tunaweza tuka-win ugly coz ndio tulichobakiza nowadays.
Wala hujakosea ,kwa huyu muhindi
 
#DavidLuiz will arrive in #Rwanda today with his fiance and mother as part of the #Arsenal's partnership with #VisitRwanda
He will meet young Rwandan players and fans in #Kigali during his two-day stay and will also visit the Kigali Genocide Memorial to pay
FB_IMG_1570713955929.jpeg
 
Arsène Wenger akimuongelea Serge Gnabry:

“Tulijaribu kumuongezea mkataba kwa muda mrefu sana na nafikiri Bayern wali husika nyuma ya pazia kwamba akienda Bremen, ataenda Bayern baadae.” [BeIN]
 
Arsène Wenger akimuongelea Emery:

“Siko hapa kuhukumu makocha. Mimi ni shabiki wa Arsenal hivyo namuunga mkono na nina matumaini atashinda mechi nyingi na kucheza aina ya mpira ninao upenda."

Je, Kwa sasa timu yetu inacheza mpira ambao Wenger anaupenda?
 
Hatuta cheza na timu kubwa ugenini kwa takriban miezi 3 na nusu ijayo au mpaka January 22 mwakani dhidi ya Chelsea nafikiri kipindi kizuri zaidi kutafuta top 4 ndio hiki kutopoteza points zaidi ya 10.


Lakini sitashangaa emery akianza Ujinga wake
 
Dani Ceballos:

"Sijiskii vibaya kutokuwepo Madrid. Akili yangu ilikua ni kucheza ba kufurahia mpira. Ninafuraha sana Arsenal, nimecheza mechi 10 na nimeonyesha uwezo wangu. Sasa nipo nilipotaka kuwepo." #coyg
 
Mesut on Arsène Wenger winning a Legends of Football Award:

“Congrats on this award, Mon. Wenger. Well deserved Thanks again for everything you’ve done for me and the whole Arsenal family. You have huge respect for the beautiful game and we’ll always have huge respect for you.”
uberafc-20191010-0001.jpeg
 
According to Spanish outlet El Confidencial, Arsenal and Real Madrid are already negotiating a permanent transfer of @DaniCeballos46 to #Arsenal
IMG_20191009_104158.jpeg
 
Turkish newspaper Fotomac claim Ozil's wife Amine Gulse has given him the green light to leave #Arsenal for Fenerbahce. She believes living in Turkey would be a better environment for both of them.

Dada amine kaishaweka Tiki kwa ozil kuondoka


January maestro Mustapha ozil hatutakuwa naye
 
Gabacholi anatuulia timu huyu dah
Turkish newspaper Fotomac claim Ozil's wife Amine Gulse has given him the green light to leave #Arsenal for Fenerbahce. She believes living in Turkey would be a better environment for both of them.

Dada amine kaishaweka Tiki kwa ozil kuondoka


January maestro Mustapha ozil hatutakuwa naye
 
Happy Birthday to Mr Arsenal @TonyAdams Titles x4
FA Cups x3
League Cups x2


The only player to captain a title-winning side in 3 different decades.


“Play for the name on the front of the shirt & they’ll remember the name on the back.” #AFC
 
Back
Top Bottom