Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki inaaminika kuanza mazungumzo na Arsenal juu ya kumsajili kwa mkopo mwezi Januari kiungo Mesut Ozil, 30. (Takvim, via Sun)
Ozil ana wasi wasi kuwa hatacheza tena katika klabu ya Arsenal. (Mirror)
Ozil ana wasi wasi kuwa hatacheza tena katika klabu ya Arsenal. (Mirror)