Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

No one on the pitch made more tackles than Gabriel Martinelli (4) against Bournemouth today. He only played half an hour.
FB_IMG_1570350145055.jpeg
 
Pepe had a good game today. I am 100% sure Emery took him off because Martinelli/Saka have better work rate. I found that to be baffling because really, you're better off keeping your star man on the pitch to make it 2-0.
IMG_20191005_210936.jpeg
 
Pepe

3 successful dribbles, 2 chances created and one assist in 60 minutes. He looked very lively. Not sure what else people want from him .
 
Beki wa kulia Calum Chmbers itakuwa vigumu sana kukaa bench.

Wiki ilopita alimweka kapuni Daniel James wa Man Utd na kuhakikisha hakurupuki.

Leo tena akamweka kapuni mshambuliaji wa Bournemouth Josh King na kumfanya awe wa kawaida sana.

Chambers apia alikuwa akipanda mbele na kurudi kuonyesha wazi kwamba anaweza kucheza nafasi hiyo na sio tena Hector Bellerin.

Hivyo tayari nafasi ya beki wa kulia ina washindani.

Safi sana hiyo.

Calum Chambers of Arsenal controlls the ball  during the Premier League match between Arsenal FC and AFC Bournemouth  at Emirates Stadium on October 06, 2019 in London, United Kingdom.


Picha na Justin Setterfield.
 
Beki wa kulia Calum Chmbers itakuwa vigumu sana kukaa bench.

Wiki ilopita alimweka kapuni Daniel James wa Man Utd na kuhakikisha hakurupuki.

Leo tena akamweka kapuni mshambuliaji wa Bournemouth Josh King na kumfanya awe wa kawaida sana.

Chambers apia alikuwa akipanda mbele na kurudi kuonyesha wazi kwamba anaweza kucheza nafasi hiyo na sio tena Hector Bellerin.

Hivyo tayari nafasi ya beki wa kulia ina washindani.

Safi sana hiyo.

Calum Chambers of Arsenal controlls the ball during the Premier League match between Arsenal FC and AFC Bournemouth at Emirates Stadium on October 06, 2019 in London, United Kingdom.


Picha na Justin Setterfield.
Dah jamaa anaimarika kila kukicha

DM anaicheza,

CB anacheza

RB anacheza

LEO KAWA MOT

Bado LB kule kola kupiga kross hawez ,baada ya Break naona akianza kula bench mbele ya Tierny

Sokratis pia sio mbaya ila itabid ampishe taratibu Holding,

Laca atakuwa amerejea pia ,

COYG
 
Michael Owen waxing lyrical about Gabriel Martinelli. Says that strikers cannot be coached beyond a point and highlights the importance of having instinct. Says Martinelli performance against Liege was all 'Brilliant instinctive play from a centre forward.'

Owen was asked where Martinelli can improve, he responded by saying its just experience. Adds that he's got the 'instinct of a centre forward', 'knows how to link play' and 'he knows how to finish.

Owen also highlighted how Martinelli is not always on the 'danger zone.' Says sometimes centre forwards have too much greed for goals that they tend to just be inside the box, whereas Martinelli is also willing to take up other areas to help create for his side. (Ceballos goal)

He added that he really likes Martinelli. Says that sometimes strikers are over eager to score and they're always between the posts looking for that goal. Says it important that patience is exercised and you just go with the flow of the game. Says Martinelli has this quality.
FB_IMG_1570350145055.jpeg
 
Arsenyeto wazee wa futuhi leo mmebahatisha kagoli kamoja wenzenu huko wanashinda nne halafu mnajidanganya mna timu, washaurini wachezaji waachane na mpira wakalime matikiti
 
Toka mwaka 2004 arsenyeto hawajashinda Epl takribani miaka 15 sasa nyie wasindikizaji tu.
Kazi kununua wachezaji wa mafungu mafungu kama nyanya
 
Arsenal Ina mpango wa kumnunua Dominic szobolai wa RB Salzburg ambaye anapatikana kwa £15m

Pia Kumleta beki mmoja wapo ,majina yanayotajwa ni Dayot upemacano ambaye ,January release clause yake inashuka hadi £60m , ambayo Arsenal ilipeleka summer ikakataliwa .

Pia inatajwa kumfukuzia Isa diop wa westham anayepatikana kwa £40-45m

0_Arsenal-FC-v-Burnley-FC-Premier-League.jpeg
 
ARSENAL INAPANGA KUMRUDISHA KINDA MALEN KWA £50M

Arsenal are monitoring PSV Eindhoven’s £50million-rated striker Donyell Malen – two years after allowing the young Dutchman to move back to Holland for just £500,000.

No fewer than 45 clubs have asked PSV to keep them informed of their plans for the 20-year-old international, who was dubbed the new Thierry Henry when he spent two seasons with the Gunners’ youth team.

Malen has scored 11 goals in just 13 matches in four competitions for Eindhoven this season after hitting double figures in his breakthrough campaign.

Eindhoven believe he is already worth 100 times the sum they paid Arsenal to secure his services.

Malen featured in just two pre-season friendlies for Arsene Wenger before being sold to PSV in the summer of 2017.

Malen said: “Arsene Wenger told me that he saw a lot of potential in me.

“He gave me a lot of confidence and I wanted to do everything to become a better player at Arsenal - but I needed chances in the first team.”

gunnersnewz-20191006-0001.jpeg
 
Malen said: “Arsene Wenger told me that he saw a lot of potential in me.

“He gave me a lot of confidence and I wanted to do everything to become a better player at Arsenal - but I needed chances in the first team.”

IMG_20191007_000546_245.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_2019-10-07-00-04-50.jpeg
    Screenshot_2019-10-07-00-04-50.jpeg
    43.2 KB · Views: 3
Hii timu tia maji tia maji
UNAI EMERY ALIPEWA MKATABA WA MISIMU MIWILI TU!!!
"Msimu wa kwanza ilikuwa 2018-2019"
"Msimu wa pili ni huu wa 2019-2020"
KWA MPIRA UNAOCHEZWA ARSENAL SASA HIVI HATA MANAGEMENT YA TIMU ISHALIONA SWALA HILI
LA MPIRA MBOVU SEMA TU IMEKAA KIMYA
"Maana ukiitoa "Liverpool" na "Manchester city"
Miongoni mwa zile timu SABA kubwa
Hakuna timu yenye wachezaji wazuri sasa hivi ambayo inazidi WACHEZAJI Arsenal
Ukianzia kwa timu kama
CHELSEA
MANCHESTER UNITED
TOTTENHAM HOTSURS
LIECESTER CITY
Hizi timu zote wachezaji wake UKICHUKUA MMOJA MMOJA HUWEZI kuwalinganisha na wachezaji wa Arsenal

"Hivyo sasa Hapo kinachofanya kazi ni Planning ya kocha tu"

"UNAI yuko anamalizia msimu wake wa mwisho kwa mjibu wa mkataba wake tusubiri tuone"
""KILA MECHI INACHEZA MPIRA WA KUZUIA
TU
NA KAMA ATAENDELEA KUWEPO SIONI MPIRA AU PLANI ANAYOTUMIA PALE ARSENAL YA KUWEZA KUZIFUNGA TIMU KUBWA PALE ENGLAND HATA KAMA ZITAKUWA KWENYE UBOVU KIASI GANI MFANO NI MAN UNT"
""NASEMA NA NITAENDELEA KUSEMA UNAI HATUFAI KABISA""""
IMG_20191007_002022.jpeg
 
Back
Top Bottom