Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

yaani timu imetoa draw na manchester united ndani ya old traford bado inalaumiwa, kweli binadamu tumejaa lawama na hatuna shukrani
Ishu ni kwamba timu haina mipango, yaani paka Tuanzebe achomeshe boko ndio tupate goli.

Paka sasa hivi unaweza kunambia kwanini tunapata matokeo ya ovyoo na kwa kubahatisha, je ni kwamba hatuna wachezaji wakutupa matokeo ya uhakika?

Ni lini unai ameshinda hata 3-0 au 4-0 kwenye EPL akiwa Emirates, kitu ambacho ilikuwa kawaida sna kipindi cha AW tunapocheza na midtables japo tulikua na Average players kuliko hawa wa leo.

Leo tukicheza na leicester,Watford,Wolves inakua km fainal eti sisi ndo tunapigwa 3-0, 3-1,...AW alikuwa anapoteza mechi na midtables ndio sikatai, lakini haikuwa kwa wingi huo wa magoli na azidiwe hadi ball possession , never.

Sisi tulitaka kocha ajaye aanzie pale AW aliposhindwa, ila huyu naona anaturudisha nyuma tuanze kujifunza hadi ball possession tena, AW kwa timu hii angefanya poa mara kumi zaidi ya huyu anachokifanya.

Fukuza huyu leta Ten hag tuenjoy football.
 
IAN WRIGHT KUHUSU EMERY

IAN WRIGHT KUHUSU CHAKUBANGA EMERY

‘The disappointing thing from my side of it, when you look at chances created, Arsenal did do as much in the second half but I think his selection initially [was wrong],’ Wright told Optus Sport.

With [Granit] Xhaka being the captain it then takes it away from [Lucas] Torreira, because I think Torreira should start and he did.

‘But I do believe [Dani] Ceballos should start.

‘They could have the protection of Torreira and [Matteo] Guendouzi and a bit more creativity.

‘Because when you see Aubameyang get one chance, he takes the chance.

Pierre-Emerick Aubameyang scored Arsenal’s equaliser at Old Trafford (Getty Images)

‘If you get a midfielder on it who is going to at least try to get the ball into areas where he can run on to it, if he gets another chance he may score another goal.

‘I think the manager is just being a bit too cautious.
 
Ishu ni kwamba timu haina mipango, yaani paka Tuanzebe achomeshe boko ndio tupate goli.

Paka sasa hivi unaweza kunambia kwanini tunapata matokeo ya ovyoo na kwa kubahatisha, je ni kwamba hatuna wachezaji wakutupa matokeo ya uhakika?

Ni lini unai ameshinda hata 3-0 au 4-0 kwenye EPL akiwa Emirates, kitu ambacho ilikuwa kawaida sna kipindi cha AW tunapocheza na midtables japo tulikua na Average players kuliko hawa wa leo.

Leo tukicheza na leicester,Watford,Wolves inakua km fainal eti sisi ndo tunapigwa 3-0, 3-1,...AW alikuwa anapoteza mechi na midtables ndio sikatai, lakini haikuwa kwa wingi huo wa magoli na azidiwe hadi ball possession , never.

Sisi tulitaka kocha ajaye aanzie pale AW aliposhindwa, ila huyu naona anaturudisha nyuma tuanze kujifunza hadi ball possession tena, AW kwa timu hii angefanya poa mara kumi zaidi ya huyu anachokifanya.

Fukuza huyu leta Ten hag tuenjoy football.
Umeongea fact tupu, na ndicho tunachowaambia wanaomtetea Emery,

Wenger alikuwa na lundo la average players ,na karibu WOTE wameondolewa , huyu kapata bahati kaletewa wachezaji wazuri ,

Kaachiwa academy nzuri bado anacheza mpira wa ovyo


Tayari Kina Per meterseker , IAN wright , n.k wanasikitishwa na Jinsi emery anavyovuruga timu
 
Siku kama ya leo mwaka 1996, kocha mkongwe Arsene Wenger alijiunga rasmi na Arsenal fc.

-Miaka 22.
-Michezo 1,235.
-Mataji 17.

Kids know nothing about Legendary Arsene Wenger.
IMG-20191001-WA0021.jpeg
 
23 Years Ago Today:

Arsene Wenger joined Arsenal.

1,235 Games
707 Wins
280 Draws
248 Defeats

7 FA Cup
7 Community Shield
3 Premier League

Invincibles in 03/04.

Le Professeur.
IMG-20191001-WA0021.jpeg
IMG_20191001_131250.jpeg
IMG_20191001_131256.jpeg
 
Kieran Tierney may miss international duty with Scotland as part of what has been described as a ‘phased return to match fitness’ but he is available for Arsenal’s Europa League match on Thursday and therefore no fresh injury setback.
 
"It has not been easy [to adapt], I must tell the truth. My stats have not been good enough or my usual performances, it is not the same as Lille or the Liverpool game earlier in the season"

- Nicolas Pepe
IMG_20191001_140226.jpeg
 
PER TAYARI AMESHA REACT KUHUSU FALSAFA YA MPIRA KUVURUGWA


“I’ve presented it to Edu,” Mertesacker reveals to The Athletic. The Brazilian was appointed as Arsenal’s first ever technical director back in July, and has since sat down with Mertesacker to sketch out the blueprint for the ideal Arsenal player. “Just to give you a brief idea: we want to dominate possession but we want to win it back as soon as...


KWANINI PER KAENDA MOJA KWA MOJA KWA BWANA EDU?(DIRECTOR OF FOOTBALL)

Director of football' ni nani? Ana kazi gani ndani ya klabu? Ukimuuliza Michael Zorc swali hili, atabasamu kidogo kabla ya kulijibu. Hii ni kwa sababu amekua akiifanya kazi hii kwa miaka mingi. Anajua kila kitu kuihusu kazi hii. Huwa anatamani kazi yake ifahamike zaidi kwa watu wengi. Kama vile kazi ya kocha inavyofahamika.

Kwa miaka mingi, kocha amekua na majukumu ya kuhakikisha anakisimamia kikosi cha kwanza, akademi na vikosi vya vijana kama bosi. Anafundisha falsafa zake ambazo anaamini ni bora kwenye kupata ushindi. Anakua na kazi ya kusimamia uhamisho wa wachezaji. Kuuza na kununua.

Anasimamia vitengo vyote ndani ya klabu. Kuanzia kile cha kutafuta wachezaji vijana hadi kitengo cha madaktari. Kocha anakua na kazi ya kutengeneza na kusimamia mipango ya muda mrefu ya klabu. Ndio maana kocha hakutambulika kama kocha pekee. Alitambulika kama meneja wa klabu. Alikua na majukumu mengi.

Hopefully Edu, Per and Freddie get together and recommend to Josh the all important change that needs to be made.
nakazia
 
Pepe:


"My confidence must come back. I am not very worried. People may be worried about my statistics but I am not. I have to keep working as the level here is different so is the language. It is a new league for me & I must adapt quickly. But it won’t take very long" #Arsenal
 
Matchday two sees the visit of Standard Liege to the Emirates Stadium.

This will be the first meeting between the two teams in a decade and the north London outfit have a few fitness concerns ahead of the game.

With that said, here is the latest Arsenal injury news.

Emile Smith Rowe

The attacking midfielder started the game against Nottingham Forest in the Carabao Cup but was taken off after a clash of heads.

Sources close to the player have confirmed to football.london that Smith Rowe suffered a concussion and no damage to his head. Having been assessed by the club's medical staff he was driven home.

Speaking after the game, Unai Emery said: "He received a knock to his head. It was for precaution we changed him. It's not a serious problem."


Alexandre Lacazette

Arsenal were dealt a major injury blow, when the club have confirmed that the striker will be out of action until at least October with an ankle injury.

A statement via the club's official website read: "After assessments to an ongoing ankle issue, we have advised that Alex will need to rest and strengthen his ankle to regain full fitness.

"Alex has been playing through this injury for several weeks. He is likely to be back in action in October."


Screenshot_2019-10-01-14-40-08.jpeg
 
| #AFC

Reports state that Dayot Upamecano’s clause of €80M will drop to €60M in 2020 making him a bit more affordable on the market. A return for the defender could be on the cards but, Arsenal will likely face competition from other clubs.
[L’EQUIPE via @Sport_Witness]
 
While the general consensus in the press is that Arsenal did make a €60m or so offer for Dayot Upamecano in the summer as they searched around for a new centre-back (eventually settling on William Saliba and David Luiz), the player’s release clause remains a big question mark.

We covered a number of claims in August on the subject, as every German outlet reporting the story had their own version, and now L’Equipe bring their own on Tuesday.

On August 5th, Bild stated the young Frenchman’s exit clause stood at €100m, which is set to drop to €80m.

Over at Kicker on August 7th, who relayed information from Der Spiegel’s Football Leaks, the belief is RB Leipzig set the bar at €90m.

Screenshot-2019-10-01-at-10.40.39.jpeg
 
Nicolas Pepe admits he is lacking confidence after flopping against Manchester United
 
Ashley Young Vs Bukayo Saka
Umri mkubwa saa nyingine unatia aibu kwenye football
Jana Young ilikuwa niu vituko tu mbele ya kijana wa miaka 18
 
Jana timu yenye defence mbovu inakutana na timu yenye forward butu, utategemea draw tu
Man U wazuri nyuma na katikati wamefanana kidogo na Arsenal ila mbele ni butu
Arsenal wazuri mbele, katikati wamefanana kidogo na Man U ila Nyuma ni bomu
Ndicho kilichofanya jana mpira uwe hovyo, boring na hakukuwa na burudani kabisa. Utadhani Stendi na Singida United ndizo zilikuwa zinacheza. No game plan nzuri, no ball control, no dribbling, long passes ambazo nyingi zilikuwa zinafail. Majirani msipojirekebisha mid-table ni yakwenu hata top six hakuna
 
Jana timu yenye defence mbovu inakutana na timu yenye forward butu, utategemea draw tu
Man U wazuri nyuma na katikati wamefanana kidogo na Arsenal ila mbele ni butu
Arsenal wazuri mbele, katikati wamefanana kidogo na Man U ila Nyuma ni bomu
Ndicho kilichofanya jana mpira uwe hovyo, boring na hakukuwa na burudani kabisa. Utadhani Stendi na Singida United ndizo zilikuwa zinacheza. No game plan nzuri, no ball control, no dribbling, long passes ambazo nyingi zilikuwa zinafail. Majirani msipojirekebisha mid-table ni yakwenu hata top six hakuna
Lakin wewe hapo OT juzi juzi ulikula 4-0

Sisi tatizo ni kocha na majeruhi ambao 99% wanarejea wiki hii
 
Gnabry on leaving #Arsenal:


"[Arsenal] had so many wingers at the time - Chamberlain, Rosicky, Theo, Cazorla, Alexis, Özil - so I just had to go. I was still confident I could've got in the team but I didnt want to wait. I didn't want to be fourth or fifth choice any longer"
 
Back
Top Bottom