Arsenal (The Gunners) | Special Thread

LUCAS Toreira ni mwepes na anakaba sana tofaut na xhaka.

Xhaka anapocheza DM ndiye uchochoro wa njia ya mashambuliz mabeki ,pia toreira akicheza pembeni(BOX TO BOX MD) yaani kwa mfumo wa 4_3_3 anakuwa anapoteana sana.

Kama unai Emery anataka kuwatumia xhaka na toreira wacheze pamoja kwa mfumo wa 4_3_3 bas DM acheze toreira na pale anapo cheza toreira acheze Ceballos .

DM akicheza toreira kiukwel pale Kat huwa panatulia sana.

Jana goli la pili la Aston Vila xhaka kaanza kumsindikizaa jamaa kwa macho mpaka ndani ya box kitu ambacho alikuwa anauwezo wa kumalizana nae mapema kabla hajaingia eneo la hatar.

#UNAI OUT


72nd min: Arsenal losing 2-1 and take off Xhaka

84th min: Arsenal winning 3-2

Coincidence? I think not. Get Xhaka out of Arsenal FC.
the second goal ilisababishwa na makosa ya chambers, nauelewe kwamba xhaka aliogopa kuucheza mpira kwasababu alikuwa tayari ana yellow card...huo ndio uhalisia mkuu
 
Jana haikua mara ya kwanza kwa Nicolas Pepe kuongoza kwa kutengeneza nafasi na kukokota mpira kwa Arsenal, sasa kaanza na kufunga naamini ataongeza kujiamini na mambo mazuri yatakuja. Tusimuongelee vibaya bado mapema mno.

#coyg #ArsenalBongo
IMG_20190922_230248.jpeg
 
Tuwe wazalendo kwenye football Liverpool hajafungwa EPL Anfield toka 2017 arsenal hata wangekuwa na Messi ,Hazard, Lewando kupata point 3 haiwezekani ,team itakayovunja hii record ni City tena kwa tabu sana na kupitia mateso makubwa
hujui unachokiandika au pengine huna rekodi ya Liverpool
 
My team for Nottingham Forest (4-2-3-1/4-3-3): Martinez, Bellerin, Holding, Mavropanos, Tierney, Burton, Willock, Emile Smith Rowe, Nelson, Saka, Martinelli.

Would love to see Balogun and John Jules play some part.
 
HII MECHI SITAKUJA KUISAHAU MAISHA YOTE, HAKIKA WANAOSEMAGA MAREFA WALIKUWA WANAIBEBA MAN U HAWAKOSEI ....

Arsene Wenger: "We lost our status as Invincibles against Man Utd in a game where referees shared some of the responsibility. It wasn’t deserved. When I die, I’m going to ask God where the referees are before I choose between Heaven & Hell." #AFC #Arsenal

 
Balogun, John-Jules, Saka and Bola trained with first-team today. Bellerin, Holding and Tierney trained as well.
 
My lineup tomorrow vs Forrest:

First starts for Bellerin, Holding & Tierney, we need them in our back line ASAP. Would start Torreira, Willock & Saka at Old Trafford Monday but also give them run-outs tomorrow. Rest Auba & Pepe and give Martinelli a chance to impress. #AFC
IMG_20190923_183300.jpeg
 
Aaroon, mbona uyu Alegri mpira wake kama wa mourinho na kama ana vi-DNA kama Emery hivi maana naye alipewa kila kitu alishindwa kufikia malengo ya kubeba UEFA.

alafu ligi aliyokuwepo haikuwa na ushindani sana, ndo maana aliweza kutawala kwa muda mrefu sana.

badoo imani yangu ndogo sana kwake, kutupa mpira kama wa man city na kufikia malengo yetu ata kama akipewa muda mrefu sana.

Tukubali Emery tumepigwa, tunaitaji mtu ambaye ataweza kurudisha mpira nzuri na wenye mafanikio.

Binafsi naona mikel arteta, sababu huyu pale kwa Pep atakuwa product nzuri sana.

Emery out.
Enrique,Ten hag,Arteta ....bila hao hakuna mwingine wa kuturudishia mpira wa wenger kirahisi.
 
Mimi hua siyumbishwi na idadi ya vikombe vya kocha kwakua wakati mwingine hua ni inakua mtu yupo at the right place at the right time mfano Zidane.

Kwahiyo hata bila hivyo vikombe Emery ni aina ya kocha anayehitajika Arsenal. Kumlinganisha na Lampard ni kumshusha mno, naamini ingekua Emery anafundisha Chelsea Kante angepata namba daily. Kiukweli Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja iko vizuri mno kuliko Arsenal, lakini wako wapi?

Teesi zilidai Diego Simeon anatua Emirates nikaona fresh mno kwakua timu yetu kukaa muda mrefu na Wenger kuliua spirit ya kupambana yaani kama tukawa na ganzi na kufungwa. Hivyo niliunga mkono ujio wa Diego kwakua jamaa anajua mno kujenga spirit. Sawasawa na Emery, sawasawa na Pochetino.

Tupo na anayestahili kuwepo. Tunachohitaji ni wachezaji zaidi kuliko kocha.
Hakuna kocha pale, hana Consistency afu kila game mipango mipya, hata umpe mchezaji gani atazingua sababu hana principal code inayoeleweka kwenye ufundishaji wake.
 
Liverpool naweza kupanga kikosi leo kwa mechi inayofuata na nikawa sahihi kwa asilimia 85, timu inajulikana na wanapangwa wachezaji wazuri. Arsenal timu haieleweki.

Leo mara Willock, kesho Lt11 benchi mwaka wa pili huu kikosi chetu hakieleweki siku akipigiwa kelele anapanga kikosi kizuri. Haya majaribio sijui yataisha lini.

Hivi kwa kiwango cha Chambers na Frankfurt kuna aliyetegemea aanze benchi jana? Unampanga Maitland ambaye ni kiungo.

Ozil akose namba mbele ya Willock hivi ni vichekesho vinapatikana kwa Emery tu.
Chambers sio game na frankfurt tu,pre season yote kaperform vizuri, pia game na Newcastle katoa cleanshit

Chambers ni wakucheza CB kabisa na mmoja kati ya luiz au sokratis, maana wao wameshindwa combo haieleweki wanatoa magoli mepesi sana.
 
Aston villa ambao wapo chini kabisa wametusumbua itakuja kuwa man u OT. hiyo mechi hata draw hatupati
Man u wanaweza shinda kirahisi sana kwa mabeki wetu mabwege wale kama Daniel james na rashid wakitulia vzuri pia magwaya na lindelof wale sahani moja na Auba, hio mechi wanaimaliza mapema sana.

Tegemeo langu ni kwa Bukayo Saka, najua pepe is not good enough for now pia atakamiwa sana, ila Saka akipangwa atampa nguvu kubwa Auba.
 
Wazee naomba ikumbukwe ni sisi ndiyo tulimkataa Wenger tukisema kachoka kaishiwa mbinu.

Unai kaja. Tukashangilia.

Leo hii hata hana muda mkubwa tunayumbishwa na mafanikio ya Man City na Liva. Liva alianza kuiunda hii timu 2015 tukumbuke magumu aliyopitia.

Cuty akaona isiwe kesi akaamua kuingia sokoni kununua mafanikio, same na Chelsea na Man U. These are big spenders than Arsenal.

So we headed to the final with a big spender. We got beat up tunanuna.
Emery kaamini vipaji, huku kuamini vipaji ndiyo kunafanya tusiienjoy timu.

Am saying f... this kama anaenda basi aende but bro is what we deserve.
Unajua mkuu na huendeshwi na mihemko
 
My team for Nottingham Forest (4-2-3-1/4-3-3): Martinez, Bellerin, Holding, Mavropanos, Tierney, Burton, Willock, Emile Smith Rowe, Nelson, Saka, Martinelli.

Would love to see Balogun and John Jules play some part.
Halafu hivi vitoto timu ikifungwa tuje tumnange kocha hapa
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Rob Holding
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Kieran Tierney
Hector Bellerin

Arsenal could have a new-look defence in the Carabao Cup this week...
Screenshot_2019-09-23-21-04-09.jpeg
 
Back
Top Bottom