Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nina wasiwasi sana kama Auba atabaki kwenye hii timu yetu isiyo na malengo hasa tusiposajili vizuri January, kwa kiwango hicho cha kufunga Real Madrid, Barcelona watakuja tu maana teams hizo saizi zinasuasua
Auba anajua malengo ya timu. Anajua we want to take the team back to UEFA na ku-win either FA , league cup or EUROPA.

sasa why aondoke na malengo yatafikiwa??
 
Mkuu angalia mpira kwa makini Beki yetu aliyepewa red bado sana kwenye kukaba hata goli la mwanzo cross ilitokea kwake anakaba kwa macho. Pia comb ya Luiz/Sokratis imefeli makosa kibao.

Lt11 mpambanaji sana anaachwa bench, Xhaka slow anaanza.
Beki hatuna kabisa
 
Mnamsikia Ian Wright??

Anasema "it's good to see the driving force of arsenal at the moment, Matheo Guendouzi "
 
Kwa beki yetu ile sioni kipya sana,tunafunga ila tunaruhusu sana magoli,kwa comment yake ya game ya Watford nilipata hofu sana,sidhani kama atabaki
 
Mkuu angalia mpira kwa makini Beki yetu aliyepewa red bado sana kwenye kukaba hata goli la mwanzo cross ilitokea kwake anakaba kwa macho. Pia comb ya Luiz/Sokratis imefeli makosa kibao.

Lt11 mpambanaji sana anaachwa bench, Xhaka slow anaanza.
Sikatai mkuu, sikatai kabisa bro.

Hoja zangu ni kwamba, maitland anacheza coz bellerin hayupo, kuhusu Luiz na papa, as it stands utampanga nani?? Ngojeni holding arudi mmoja wao atakuwa dropped.

Xhaka hata mimi naona aanze bench kidogo maana lt11 yupo poa na akiingia timu inaamka
 
Guendouzi mnaemkataa ndo kasababisha tupate penalty na kaanzisha shambulio la goli la chambers,huyo dogo ni talented na atazid kuwaaibisha mnaompinga, xhaka na niles ni takataka
Tena these three point will prove to be very important points come May 2020.

Kumbuka mpira aliopiga Guendouzi game ya spurs???
 
Unai kaifanya Arsenal kuwa kama Evarton tu, enzi za Wenger hii game ameshamaliza first half, sasa Aston villa inatusumbua hivi tena Nyumbani Emirates..
 
Guendouzi mnaemkataa ndo kasababisha tupate penalty na kaanzisha shambulio la goli la chambers,huyo dogo ni talented na atazid kuwaaibisha mnaompinga, xhaka na niles ni takataka
Leo dogo kacheza vizuri sana. Ana spirit ya kupambana pia bado mdogo miaka 20 tu.

Ila nashindwa kuelewa Unai anampenda nini Xhaka,huyu ndio chanzo cha matatizo na yule Maitland. Hizi ni za kuuza kabisa yaani kila wiki zinafanya mistakes zile zile.

Angeanza na Lt11 na Guendouz kiungo ya chini then beki ya kulia Chambers. Pale kati ndio panafanya beki zetu zizidiwe.
 
Can we chat about Auba for a moment please? He scored winners in the first 2 games. So 6 points. Equalizer against Spurs, so 1 more point. Brace last week in draw against Watford, so 1 point. Winner today, 3 points.

Points Auba helped us win = 11
Arsenal points in PL = 11
IMG_20190922_210044.jpeg
 
Unai kaifanya Arsenal kuwa kama Evarton tu, enzi za Wenger hii game ameshamaliza first half, sasa Aston villa inatusumbua hivi tena Nyumbani Emirates..
Enzi za wenger United wanapanga wachezaji wapumbavu na namba 8 wao ni kile kitoto fabio na tunakufa 8.

Wenger alietuletea yaya sanogo??
Wenger alietuletea maroune chamakh??
Wenger aliemuuza serge nabry??
Wenger alepoteza fainal kizembe against Birmingham???
Wenger jeuri aliekuwa akifanya sub dkk 80

Sijasahau bado maudhi ya wenger, nyinyi kama mmesahau hongereni.

Ilifika kipindi mtu akitaka kukutukana anakwambia "arsene Wenger weee"
 
Leo dogo kacheza vizuri sana. Ana spirit ya kupambana pia bado mdogo miaka 20 tu.

Ila nashindwa kuelewa Unai anampenda nini Xhaka,huyu ndio chanzo cha matatizo na yule Maitland. Hizi ni za kuuza kabisa yaani kila wiki zinafanya mistakes zile zile.

Angeanza na Lt11 na Guendouz kiungo ya chini then beki ya kulia Chambers. Pale kati ndio panafanya beki zetu zizidiwe.
Hapo tupo sawa
 
Such a weird feeling after that. Arsenal deserve huge credit for somehow getting the win, but this sort of chaos can’t go on. Arsenal looking increasingly directionless atm. Constantly relying on individual brilliance rather than the team.
 
Back
Top Bottom