Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili ndio tatizo lenu kubwa nyie. Akili zenu ni za muda mfupi kama maisha ya funza. Mnakumbuka Lingard alishawahi kufananishwa na Rooney huku mki edit picha zake mkimuwekea na tuzo ya Ballon d'or siyo nyie? Yako wapi sasa hivi

Acha muda useme wenyewe.
Hasira za nini sasa unataka kumwaga damu hapa?

Subiri muda ufike uje kunihukumu mimi kwa nilichosema.
 
Napenda sana kumuona Ceballos akiingia sub hasa sub ya mapema dk 60 timu pinzan wakiwa wamechoka aje kuwakimbiza ana amshaamsha sana
 
Kuna watu wana project ya kubomoa. Kuwa makini kati ya hao unawaita wenye project ya ujengaji.
Hahahhaha ndio mje kubomoa kwetu,?lini mlikuja ? Ni ngumu sana labda zitokee hali kama za kipind kile Ashley Cole , William galas au luiz . Hivi hivi sio rahis, ndio maana huji kusikia Chelsea kabid kwa arsenal
 
Siku zote hatutakagi magarasa ndio maana hakuna bid yoyote. Ila hapo kwa Pepe ni project nzuri sana. Huyo dogo anatufaa sana katika kuimarisha ushambuliaji wetu.
Hahahhaha ndio mje kubomoa kwetu,?lini mlikuja ? Ni ngumu sana labda zitokee hali kama za kipind kile Ashley Cole , William galas au luiz . Hivi hivi sio rahis, ndio maana huji kusikia Chelsea kabid kwa arsenal
Pepe namfuatilia toka alipowasumbuaga PSG nilisikitika sana hatukupata nafasi ya kumsajili dirisha dogo wakitegemea asajiliwe dirisha kubwa.
 
Watani naona mnachekelea draw hahaha.
Sisi tulimpiga bingwa wa Ulaya Chelsea 4.
Hahahahaha. Anyway kiungo naona kimeiva sasa na ile French connections pale mbele inashirikiana vizuri na Aubamagoli.
Hongereni kwa draw lakini ila mkae mkijua sisi tuna kiberenge kinaitwa DJ 21 sijui mtamkabaje asee.
 
Watani naona mnachekelea draw hahaha.
Sisi tulimpiga bingwa wa Ulaya Chelsea 4.
Hahahahaha. Anyway kiungo naona kimeiva sasa na ile French connections pale mbele inashirikiana vizuri na Aubamagoli.
Hongereni kwa draw lakini ila mkae mkijua sisi tuna kiberenge kinaitwa DJ 21 sijui mtamkabaje asee.
Mkuu mbona kama unatutamani kiaina?, hii timu bado combinations hazijakaa vizuri na full beki zetu hazijarudi. The future is exciting, Wapinzani kazi mnayo.
 
Lacazeti n shida aisee asingeumia nahc tungetoka kifua mbele na mkubali sana jamaa, ila mikhi cku hz ndo ata simuelew, hiv hakuna namna ya kumrudisha iwobi tu wape mikh
 
Mkuu mbona kama unatutamani kiaina?, hii timu bado combinations hazijakaa vizuri na full beki zetu hazijarudi. The future is exciting, Wapinzani kazi mnayo.

Sio kwamba nawatamani ila mm ni mpenzi wa good football kwenye ukweli nasema kweli namkubali sana Lacazette na Aubamagoli.
Nikupe siri Leo mmepona sababu like jembe la spur jipya halikuepo. Ndombele maana yule jamaa anajua na Leo angekuepo mngepotea kati wote.
 
Kwa Pepe tumepata bonge la mchezaji, kwangu hiyo ni positive kubwa ya mchezo wa leo.
 
Lacazeti n shida aisee asingeumia nahc tungetoka kifua mbele na mkubali sana jamaa, ila mikhi cku hz ndo ata simuelew, hiv hakuna namna ya kumrudisha iwobi tu wape mikh
Mikhi amekua mjinga mjinga siku hizi naona benchi limemfanya awe butu.
 
Siku zote hatutakagi magarasa ndio maana hakuna bid yoyote. Ila hapo kwa Pepe ni project nzuri sana. Huyo dogo anatufaa sana katika kuimarisha ushambuliaji wetu. Pepe namfuatilia toka alipowasumbuaga PSG nilisikitika sana hatukupata nafasi ya kumsajili dirisha dogo wakitegemea asajiliwe dirisha kubwa.
Haya endelea kujidanganya
 
Watani naona mnachekelea draw hahaha.
Sisi tulimpiga bingwa wa Ulaya Chelsea 4.
Hahahahaha. Anyway kiungo naona kimeiva sasa na ile French connections pale mbele inashirikiana vizuri na Aubamagoli.
Hongereni kwa draw lakini ila mkae mkijua sisi tuna kiberenge kinaitwa DJ 21 sijui mtamkabaje asee.
Hahaaaaa mkuu ,sasa hivi mnalingia dj
 
Alan mwenyewe kakubari mchezo wa Matheo
Good battling from the team. Ningefurah zaidi kama tungeshinda ila pointi moja si haba haswa kwa kuwa timu tuliyocheza nayo si ya kitoto na tayari tulishapigwa mbili. Guendouzzi, what a talent. The kid has got massive potential.
 
Back
Top Bottom