Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,736
- 1,582
Tofauti na msimu mwa mwisho wa Mourinho na wa mwisho wa Conte sikumbuki tena ni lini Chelsea imemaliza nje ya top four. Kuanzia msimu 2002/2003 tukiwa na Raniel ndo nimeshabikia mpira na kaunza kuufatilia zaidi. Sijui unataka nn hasa
Hivi vituko vyengine yani!
Ni Mara 2 tu??? Umeanza kuipenda mwaka gani?
Na Mara zote 2 ( let's say 2016/17 na 2018/19) mulibeba zote kweli?
Kwahiyo baada ya kumaliza nafasi ya 10 mulibeba Europa 2017 au?
Nina wasiwasi Chelsea huijui au umeanza kuipenda 2019.
| #AFC
Ahead of tonight's #CarabaoCup draw...
| #AFC
| #AFC

