Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona wiki hii vilio vimetawala humu. Mara Eneri, mana Wilikoko hajui kucheza, mara Luiz anazidiwa....nk. Sasa mnataka tuwasaidieje? Kweli mtakula Krismass salama?
 
Naona wiki hii vilio vimetawala humu. Mara Eneri, mana Wilikoko hajui kucheza, mara Luiz anazidiwa....nk. Sasa mnataka tuwasaidieje? Kweli mtakula Krismass salama?
Chelsea mkimaliza nafas nzuri ni nafas ya 10,

Pigen kelele baada ya kumuokota 3-2 Norwich kwa mbinde,

Next week mtajipiga ban,
 
Here's the team I'm expecting Unai Emery to name against Spurs

Also Gunduz for ceballos
IMG_20190828_174357.jpeg
 
Predicted 11 for this weekend's clash Vs Spurs: Leno, AMN, Sokratis, Luiz, Kolasinac, Xhaka, Torreira, Ceballos, Pepe, Lacazette, Aubameyang.

Its the lineup I can see Emery going with.


SPURZ AKICHOMOKA HAPA NITAOMBA BAN YA MWAKA MZIMA
 
The Mail say Unai Emery is willing to let Nacho Monreal leave the club but must make a decision before the North London derby. Monreal is the subject of a £3m move to Real Sociedad but Emery wants that to go through before the weekend so he can settle on his squad.
 
Chelsea mkimaliza nafas nzuri ni nafas ya 10,

Pigen kelele baada ya kumuokota 3-2 Norwich kwa mbinde,

Next week mtajipiga ban,
Chelsea kila msimu iko UEFA. Tangu nimeanza kuishabikia Chelsea nimeiona ikishiriki UEROPA mara 2 tu na mara zote ilizoshiriki ilibeba. Ila nyie ndo hivyo tena Europa hamtatoka. Kwanza Mgombanie kombe na Genk ya Samatta
 
Predicted 11 for this weekend's clash Vs Spurs: Leno, AMN, Sokratis, Luiz, Kolasinac, Xhaka, Torreira, Ceballos, Pepe, Lacazette, Aubameyang.

Its the lineup I can see Emery going with.


SPURZ AKICHOMOKA HAPA NITAOMBA BAN YA MWAKA MZIMA
Huwa unaongea tu bila kutafakari. Ila kwa beki Luiz lazima utapigwa tu, maana hakuna namna
 
Siku hizi huonekani jukwaa LA Chelsea. Nilikwambia utapakimbia kule na bado. Subiri hizi wiki mbili zijazo utaona
The Mail say Unai Emery is willing to let Nacho Monreal leave the club but must make a decision before the North London derby. Monreal is the subject of a £3m move to Real Sociedad but Emery wants that to go through before the weekend so he can settle on his squad.
 
Siku hizi huonekani jukwaa LA Chelsea. Nilikwambia utapakimbia kule na bado. Subiri hizi wiki mbili zijazo utaona
Wiki tatu mfululizo mmecheza vichapo,

Juz kushinda 3-2 kwa Norwich ndio kelele zote hizi? Kwa timu gan uliyonayo unaleta kiburi?
 
4-2-1-3 inawezekana Arsenal :

Arsenal hii ina tofauti kubwa sana na za misimu karibia 8-5 iliyopita unajua kwa nini? Ina wachezaji tofauti wenye kumudu mifumo tofauti lakini kama ukipatikana mfumo mmoja ambao kocha atauamini basi kutakua na mafanikio.

Kwa upande wangu, mfumo sahihi kwa Arsenal ni 4231 kwa nini?

Kulia na kushoto tuna mabeki wenye uwezo mzuri wa kupandisha mashambulizi na kuzuia kwa wakati hapa nawazungumzia majeruhi Tierney na Bellerin.
Kwa ambao hamja pata nafasi ya kumuona Tierney basi niwekeeni dhamana nawahakikishia akitulia kwenye timu vizuri bila majeraha atakaa kundi moja na akina Robertson wa Liverpool.

Bellerin sina haja ya kumuongelea uwezo wake una julikana.

Katikati wakitumika Xhaka na Torreira kama chaguo la kwanza itapendeza zaidi, kwa nini?

Torreira ni mzuri mno kwenye kukaba hivyo kupitia uwezo wake Xhaka atakua na uhuru wa kupanda juu kidogo kukoleza mashambulizi na kufanya kitendo chake maarufu #XhakaBoom na pia kutawanya mipira mirefu kila kona ya uwanja.

Nafasi ya Kiungo mshambuliaji ni ya Ozil kama chaguo la kwanza, Ozil ni Ozil kwa Arsenal hatuna Kiungo kama yeye na ni swala lisilo hitaji ubishi na katika mfumo huu uwezo wake unaweza kuonekana tena kutokana na kupungua kwa majukumu ya kukaba na kujikita zaidi kwenye kumwaga sumu kwa maadui.

Mbele kuna "utatu mtakatifu" Auba akitokea pembeni bado ana hatari vile vile katikati ubora wa Lacazette unajulikana kule juu kwa Pépé mi sina la kupasemea.

Leo nimeandaa approach ya huu mfumo kesho panapo majaaliwa nitakuja na faida za huu mfumo, mtondogoo nitakuja na changamoto zake.

Nakaribisha maoni, mapendekezo, marekebisho na matusi pia kwenye comments.
IMG_20190828_174357.jpeg
 
The last 8 North London Derbies at the Emirates:

11-12 Arsenal 5-2 Spurs
12-13 Arsenal 5-2 Spurs
13-14 Arsenal 1-0 Spurs
14-15 Arsenal 1-1 Spurs
15-16 Arsenal 1-1 Spurs
16-17 Arsenal 1-1 Spurs
17-18 Arsenal 2-0 Spurs
18-19 Arsenal 4-2 Spurs
IMG-20190828-WA0024.jpeg
 
Chelsea kila msimu iko UEFA. Tangu nimeanza kuishabikia Chelsea nimeiona ikishiriki UEROPA mara 2 tu na mara zote ilizoshiriki ilibeba. Ila nyie ndo hivyo tena Europa hamtatoka. Kwanza Mgombanie kombe na Genk ya Samatta
Wewe ni mjuaji sana, unapoambiwa mtamaliza nafasi ya kumi huwa hatubahatishi kusema hivyo.Nikumbushe ni lini Arsenal alimaliza huko.?
Insta-2019-07-01-01-07-26.jpeg
 
Chelsea kila msimu iko UEFA. Tangu nimeanza kuishabikia Chelsea nimeiona ikishiriki UEROPA mara 2 tu na mara zote ilizoshiriki ilibeba. Ila nyie ndo hivyo tena Europa hamtatoka. Kwanza Mgombanie kombe na Genk ya Samatta

Hivi vituko vyengine yani!
Ni Mara 2 tu??? Umeanza kuipenda mwaka gani?
Na Mara zote 2 ( let's say 2016/17 na 2018/19) mulibeba zote kweli?
Kwahiyo baada ya kumaliza nafasi ya 10 mulibeba Europa 2017 au?

Nina wasiwasi Chelsea huijui au umeanza kuipenda 2019.
 
Back
Top Bottom