Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eheee upo
,tatizo lako ww ushabiki wa mpira huwezi,kwa hiyo matokeo ya Arsenal ndio yamekufanya uonekane.Sisi wenzako tufungwe tushinde hatukauki kwenye thread ya timu yetu.
Sasa mkuu huoni tumefungwa leo lakini bado nipo
sisi arsenal hata tufungweje bado nipo ..mimi sio kama AROON au dully Jr ..apa no arsenal damu damu..
 
Kipigo kilikua hakizuiliki hata angeingia nani

Kipigo kilikua pale pale mkuu !

Hata sisi tulijipanga !

Shukuru mmepigwa chache
rafiki yangu aaarooon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…