Anamtaja Ox na keita wakati hao wachezaji hawawez kucheza mech 5 mfululizo,
Nilimueleza Liverpool ni timu bora hilo halina ubishi, ila hajui ni jinsi gan Liverpool inavyozalisha magoli , Kazi anayoifanya firminho ni zaid ya viungo wake, kazi zinazofanywa na fullbacks ni zaid ya viungo ,