Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi kusema kweli akixheza Guendouzi huwa nakuwa na mashaka sana mpaka mechi inaisha.... Ila nadhani kocha antaka asiwepo mchezaji atakayejiona bila yeye timu haiendi.. Halafu huyu pepe mechi ijayo ataanza!..
Emery awe serious sasa ,aweke kikosi strong ,
 
Guendouzi vs Burnley:

90 Minutes Played
94% Passing Accuracy
54 Passes
4 Interceptions
Won all 3 ground duels

IMG-20190812-WA0037.jpeg
 
The team worked perfectly in this tough match. I am very proud of my teammates! And most of all, Arsenal fans were spectacular. I have felt their support and love since the first ball contact. 3 more points! Now we have to keep up working! Let's go!

Arsenal #Gunners
Screenshot_2019-08-17-22-25-56.jpeg
 
Mimi kusema kweli akixheza Guendouzi huwa nakuwa na mashaka sana mpaka mechi inaisha.... Ila nadhani kocha antaka asiwepo mchezaji atakayejiona bila yeye timu haiendi.. Halafu huyu pepe mechi ijayo ataanza!..
Mkuu, huyu matteo mimi mwenyewe huwa namdiss sana lakini kiukweli game ya leo alikua anapandisha timu vizuri, kacheza sana nimempenda for real, ila shida yake kubwa ni kwenye kudefence pale timu inapokua haina mpira.
 
Joe Willock:

“ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?View attachment 1183954
Awa madogo pelekeni championship uko ..laa siivyo mutaendelea kushiriki Europa tu..
 
Dah! kumbe mkuu Afadhali aisee gap lisiwe kubwa.
Hahaha kwa iyo na nyie arsenal kwa sasa munaomba Man city apigwe ili gape lisiwe kubwa hahahaha maisha yanaenda kasi sana aise...

Hongereni sana wakuu muna impruvu kwa kasi sana
 
Hahaha kwa iyo na nyie arsenal kwa sasa munaomba Man city apigwe ili gape lisiwe kubwa hahahaha maisha yanaenda kasi sana aise...

Hongereni sana wakuu muna impruvu kwa kasi sana
Unatuchukulia poa eeeh, msimu huu mimi nyie siwahesabu kama ni timu.Tunapiga nje ndani, pointi 6 za bure, labda mkamkodi hazard aje kuwasaidia.

kocha wa mazoezi yule atamfunga nani??
 
Mkuu, huyu matteo mimi mwenyewe huwa namdiss sana lakini kiukweli game ya leo alikua anapandisha timu vizuri, kacheza sana nimempenda for real, ila shida yake kubwa ni kwenye kudefence pale timu inapokua haina mpira.
Leo kacheza vizuri sana kwa kweli...
 
Back
Top Bottom