Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ceballos kauwasha.

Kila mpira ulipo yupo.

Anajua kukaba.

Anatoa pasi.

Anapiga chenga za maudhi hadi watu wanamkumbatia. Hiki cheo cha ujuzi wa chenga tulitaka kumpa Iwobi, ila C3ballos hatumpi ni kachukua tayari.
Akiwa constant na hichi kiwango, Xhaka na Ozil watasahaulika.

Pepe bado anahitaji muda. Ila anafocus na mchezo, anamtoka mtu vizuri, kwenye pasi naamini kuna kitu anataka hakiwi ila kikiwa itakua ni uhakika na magoli.

Baada ya Pepe kuingia wachezaji wakawa wanampelekea sana mipira nahisi huko mazoezini hua anawaonyesha kazi zaidi ya tunayoiona huku uwanjani.

Hawa wote wapewe game time zaidi.

Mchezaji aliyesajiliwa kwa 80m bado anahitaji mda !!!!!!!!
Mchezaji aliyesajiliwa kwa njia ya mkopo wa hisani anaonesha kiwango tayari !!!!!!!!

Dunia mbaya sana hii, Utapeli upo kila sehemu
 
Lacazette and Auba BEAUTI goals

Ceballos AWESOME technique and WONDERFUL assist to both Laca and Auba

All round ROCK SOLID defence

Nelson & Willock performing well

Mustafi no where to be found

Mkhi not starting

Super Leno

Nicolas Pepe's skillView attachment 1183827
Huyu jamaa sidhani kama anahitaji kurudia Madrid kwasababu anakiwasha kwa mapenzi ya team.
 
Screenshot_20190817-175317.jpeg
 
Joe Willock: “ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?
 
Hahahaha kazi unayo. Kocha wenu miyeyusho badala ya kumuanzisha Kante eti kamuweka bench mkala nne, asingeingia mngepigwa wiki
Sasa kante ataanzia kwenye gemu dhidi yenu ...nadhani umeona kazi yake ...jipangeni sana...
 
Hahahaha kazi unayo. Kocha wenu miyeyusho badala ya kumuanzisha Kante eti kamuweka bench mkala nne, asingeingia mngepigwa wiki
Unai ndo miyeyusho aliyepitiliza ..mchezaji aliyevunja record ya arsenal uyo Pepe ana anzia bench wachezaji wa mikopo ambao sio wa kwenu wana anza ..huu ni upumbavu wa hali ya juu anafanya uyu kocha..thamani yake iko wap sasa au bado mnadaiwa maana mnalipa kwa mafungu mafungu
 
Joe Willock:

“ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?
arsenal_bongo-20190817-0001.jpeg
 
Wakuu nasikia ceballos kauwasha

Nipen tathimin ya pepe

Leo nipo kanisan sijaangalia mpira
Mkuu nami nilikuwa church, tuna bahati mbaya msimu huu mechi zetu nyingi zipo jumamosi kulinganisha na msimu uliipita nyingi zilikuwa jumapili .... Ila la muhimu tumeshinda, tusubiri gemu la liver
 
Mkuu nami nilikuwa church, tuna bahati mbaya msimu huu mechi zetu nyingi zipo jumamosi kulinganisha na msimu uliipita nyingi zilikuwa jumapili .... Ila la muhimu tumeshinda, tusubiri gemu la liver
Emery awe serious sasa ,aweke kikosi strong ,
 
Joe Willock:

“ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?View attachment 1183954
Ni wazuri sema wanahitaji uzoefu ila kuwaanzisha kwenye mechi ngumu hasa dhidi ya big six ni kuwatafutia lawama.
 
Back
Top Bottom