Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bado nalia na Unai na msimu huu akizingua afukuzwe

Mpaka sasa hajui nan aanze nan akae nje , hana first eleven,

Mahitaji yake aliyohitaji kapewa kwa 80% ,

Kwanini anapanga kikosi kwa kubahatisha sana,?

Ngoja tumuone next mechi, Unai ndio kamuharibu LT11 Mara amchezeshe hivi Mara vile, leo atakuja na 3-4-3, kesho 4-3-3, Mara 4-4-2 , awali toreira alifanya vzr kwenye 4-2-3-1 akiwa mchezaji bora mech 4 mfululizo, anaanza kumchezesha kwenye 4-3-3 tena kama box to box ,

Away Games anaanza na 1 straiker , home anasema machine zote ,

Anawachezaji wazuri kwasasa kuliko Wenger ndan ya miaka 10 ya Wenger's era, lkn unai hajui asimamie wapi ,awe na mfumo gani,

Amekuwa hajifunzi, anapocheza na double straikers Laca na auba ,anatengeneza uwiano mzuri maana laca ni bull straiker wakati auba ni finisher straiker anayetegemea chances created .

Na rejea mech Dhid ya Liverpool msimu uliopita ,pale emirates kaanza na wote tukatoka droo, anfieled akaanza na auba pekee ,matokeo yake anakuwa mzururaji kule mbele .

Mechi ijayo na Liverpool ipo mikonon mwake ,

Lkn nimjuavyo unai tusubiri miujiza ,una midfield hizi ,Ceballos ,xhaka ,lt11 una attacking Auba laca pepe , bado anasumbuka ,

Emery asitutanie ,
 
Iwapo emery atapanga hiv bas tutarud na point anfield ,ila kwakuwa emery arsenal sio level zake ,sitashangaa akianza na mshambuliaji mmoja na vitoto vinne ,akitegemea miujiza .

IMG-20190818-WA0022.jpeg
 
Boubakary Soumaré should be one of @Arsenal’s priorities for next season. He will be free, he is 20 years old, and has been very impressive in Ligue One. He is a great interceptor, standing at 1.89M.
Great with the ball at his feet, and driving forward. Faster than Rodri, Fabinho
 
Bado nalia na Unai na msimu huu akizingua afukuzwe

Mpaka sasa hajui nan aanze nan akae nje , hana first eleven,

Mahitaji yake aliyohitaji kapewa kwa 80% ,

Kwanini anapanga kikosi kwa kubahatisha sana,?

Ngoja tumuone next mechi, Unai ndio kamuharibu LT11 Mara amchezeshe hivi Mara vile, leo atakuja na 3-4-3, kesho 4-3-3, Mara 4-4-2 , awali toreira alifanya vzr kwenye 4-2-3-1 akiwa mchezaji bora mech 4 mfululizo, anaanza kumchezesha kwenye 4-3-3 tena kama box to box ,

Away Games anaanza na 1 straiker , home anasema machine zote ,

Anawachezaji wazuri kwasasa kuliko Wenger ndan ya miaka 10 ya Wenger's era, lkn unai hajui asimamie wapi ,awe na mfumo gani,

Amekuwa hajifunzi, anapocheza na double straikers Laca na auba ,anatengeneza uwiano mzuri maana laca ni bull straiker wakati auba ni finisher straiker anayetegemea chances created .

Na rejea mech Dhid ya Liverpool msimu uliopita ,pale emirates kaanza na wote tukatoka droo, anfieled akaanza na auba pekee ,matokeo yake anakuwa mzururaji kule mbele .

Mechi ijayo na Liverpool ipo mikonon mwake ,

Lkn nimjuavyo unai tusubiri miujiza ,una midfield hizi ,Ceballos ,xhaka ,lt11 una attacking Auba laca pepe , bado anasumbuka ,

Emery asitutanie ,
Sio kila mfumo unaweza kuwaaccomodate lacca na Auba kwa pamoja, Unai mifumo mingine alikua anatumia ili kupunguza blunders kwenye defence tuliokuwa nayo msimu uliopita,

yaani apart from back three aliyoitumia sana last season baada ya kuumia belle na holding,uhakika tungefungwa mechi nyingi sana kwa kulazimisha back four ambayo inawafavor lacca na auba,

ukumbuke lacca na Auba sio wakabaji then una defence ya Mustafi,sokratis na koscienly only,thn what do you expect zaidi ya kujaribu mifumo tofauti itayo sort out defence yako.
 
Sio kila mfumo unaweza kuwaaccomodate lacca na Auba kwa pamoja, Unai mifumo mingine alikua anatumia ili kupunguza blunders kwenye defence tuliokuwa nayo msimu uliopita,

yaani apart from back three aliyoitumia sana last season baada ya kuumia belle na holding,uhakika tungefungwa mechi nyingi sana kwa kulazimisha back four ambayo inawafavor lacca na auba,

ukumbuke lacca na Auba sio wakabaji then una defence ya Mustafi,sokratis na koscienly only,thn what do you expect zaidi ya kujaribu mifumo tofauti itayo sort out defence yako.
Mbona huu mfumo wa back 3 ,auba na laca uliwafavor sana , kafatilie game tulizocheza 3-4-1-2 hazizid mbili tulizopoteza ,

Game 5 za mwisho akaanza Mara 4-4-2 Mara 4-3-3 , Mara 4-2-3-1 , hadi Baku akaja na 3-4-2-1 kama sikosei na nilisema iwapo atacheza 3-4-3 au 3-4-1-2 basi hatutafungwa zile mech za mwisho ,

Unai anatakiwa atengeneze chemistry , ila anachofanya KILA mech anakuja na jipya
 
Kwa mara ya 2 Totenham VAR inambeba mbele ya Man City

You don’t know what you are writing, hajabebwa, that was a right decision, had it been that VAR was not there, Mancity would have deceivingly pocketed three points
 
Jomba mechi na liver tukimpanga tunakufa za kutosha zile straiker zao znahtaj beki mtulivu angekua holding ingependeza zaid ata chambers sio mbaya, ila sio luiz ana mchecheto mara kapanda mara kashuka tutapgwa counterattack hzo, utaniambia labda tuchezeshe mabek wakat wa3

Ngoja nifuatilie comments zako kabla sijaku-blast, pengine leo umepitilizwa
 
You don’t know what you are writing, hajabebwa, that was a right decision, had it been that VAR was not there, Mancity would have deceivingly pocketed three points
Chief kabla ya VAR ni timu ngapi zimepata pointi 'deceivingly'?
 
Kuna timu unaenjoy kuangalia mchezaji akicheza. Man U wana Pogba, Chelsea walikua na Hazard sasa hivi Pulisic.

Halafu kuna timu unaenjoy kuiangalia yenyewe kama timu nzima. Sasa ndiyo Arsenal.

ArsenalBongeLaChama
 
Mbona huu mfumo wa back 3 ,auba na laca uliwafavor sana , kafatilie game tulizocheza 3-4-1-2 hazizid mbili tulizopoteza ,

Game 5 za mwisho akaanza Mara 4-4-2 Mara 4-3-3 , Mara 4-2-3-1 , hadi Baku akaja na 3-4-2-1 kama sikosei na nilisema iwapo atacheza 3-4-3 au 3-4-1-2 basi hatutafungwa zile mech za mwisho ,

Unai anatakiwa atengeneze chemistry , ila anachofanya KILA mech anakuja na jipya
Mfumo unaendana na wachezaji walio fit kwa muda huo na approach nzima ya game yaani mwalimu anataka nini ,Hauwezi kulazimisha kutumia the same approach e.g attacking game au possessing game kila mechi kwa wachezaji wasiokua na consistency kama Arsenal ya last season, yaani leo mchezaji anaperform vizuri, kesho anaflop.

kama unaifatilia Arsenal vizuri utagundua hili na wala hauwezi laumu

Ngoja nikupe mfano kidogo:

game ya Spurs at Emirates tulianza na central striker Auba na a 10 akiwa Ozil . Lakini Ramsey na lacazette walikua sub kwasababu tulihitaji kuattack sn na kwa speed, kwa hiyo mfumo hauwezi kuwa sawa na ule tuliotumia at white hart lane ambapo Lacazette alianza kama central striker na Ramsey kama a 10 thn Auba na Ozil walikua sub this time kwasababu ilikua ni defensive approach zaidi tulikua hatuna cha kupoteza hata sare ingefaa tu, jaribu kuelewa mbona vitu vidogo tu hivi mkuu.
 
Mbona huu mfumo wa back 3 ,auba na laca uliwafavor sana , kafatilie game tulizocheza 3-4-1-2 hazizid mbili tulizopoteza ,

Game 5 za mwisho akaanza Mara 4-4-2 Mara 4-3-3 , Mara 4-2-3-1 , hadi Baku akaja na 3-4-2-1 kama sikosei na nilisema iwapo atacheza 3-4-3 au 3-4-1-2 basi hatutafungwa zile mech za mwisho ,

Unai anatakiwa atengeneze chemistry , ila anachofanya KILA mech anakuja na jipya
Iyo yote mkuu ni kutafuta balance ya timu, kwa mfano game ya BAKU ramsey alikua injury thn mikhi nae kapigwa Ban:, Na walikua wachezaji muhimu sana kwani walitulivusha nyuma huku kama kwenye mechi ya Napoli na valencia, kwa hiyo kukosekana kwao hata kama ww ungekua kocha lazima ungebadili system tu.
 
Mfumo unaendana na wachezaji walio fit kwa muda huo na approach nzima ya game yaani mwalimu anataka nini ,Hauwezi kulazimisha kutumia the same approach e.g attacking game au possessing game kila mechi kwa wachezaji wasiokua na consistency kama Arsenal ya last season, yaani leo mchezaji anaperform vizuri, kesho anaflop.

kama unaifatilia Arsenal vizuri utagundua hili na wala hauwezi laumu

Ngoja nikupe mfano kidogo:

game ya Spurs at Emirates tulianza na central striker Auba na a 10 akiwa Ozil . Lakini Ramsey na lacazette walikua sub kwasababu tulihitaji kuattack sn na kwa speed, kwa hiyo mfumo hauwezi kuwa sawa na ule tuliotumia at white hart lane ambapo Lacazette alianza kama central striker na Ramsey kama a 10 thn Auba na Ozil walikua sub this time kwasababu ilikua ni defensive approach zaidi tulikua hatuna cha kupoteza hata sare ingefaa tu, jaribu kuelewa mbona vitu vidogo tu hivi mkuu.
Hiv kuna maana gan kuacha silaha zote nje , una auba laca pepe ,kwenye midfield una xhaka lt11 ceballos. Unawaachaje nje ?

Huon klopp na pep ,ilie trio YAO kama kawaida ,

Ninachomaanisha ni hiki emery awe na kikosi kikali na atengeneze chemistry, Huwez kuacha silaha nje ,haya mambo ndiyo yanamfelisha ,

Unataka kusema mfano klopp ana salah mane na Bob ,bas wasianze wote ? Haya ndio mambo yanayomfelisha unai ,

Aweke strong team ,hawa wengine kina ozil ,micky ,gunduz wanakuja kuingia au hata wakianza asifanye mabadiliko makubwa ,

Emery analaumiwa sasa hiv kwakuziacha machine nje ,sasa watapataje rhyzim hao wachezaji wapya bila kuwapa nafas ?

Kwasasa ana. Wachezaji wazuri tu, na bado kuna kina holding, belle ,tierny, ozil ,kola hawajacheza, utaona hata bench analo zuri , mambo yakuanzisha makinda kwa sasa asubiri kuna mech za Europa , carabao ,aweke watu wakaz atengeneze timu ya ushindan

Arsenal ya sasa watamtimua nakuambia
 
Hiv kuna maana gan kuacha silaha zote nje , una auba laca pepe ,kwenye midfield una xhaka lt11 ceballos. Unawaachaje nje ?

Huon klopp na pep ,ilie trio YAO kama kawaida ,

Ninachomaanisha ni hiki emery awe na kikosi kikali na atengeneze chemistry, Huwez kuacha silaha nje ,haya mambo ndiyo yanamfelisha ,

Unataka kusema mfano klopp ana salah mane na Bob ,bas wasianze wote ? Haya ndio mambo yanayomfelisha unai ,

Aweke strong team ,hawa wengine kina ozil ,micky ,gunduz wanakuja kuingia au hata wakianza asifanye mabadiliko makubwa ,

Emery analaumiwa sasa hiv kwakuziacha machine nje ,sasa watapataje rhyzim hao wachezaji wapya bila kuwapa nafas ?

Kwasasa ana. Wachezaji wazuri tu, na bado kuna kina holding, belle ,tierny, ozil ,kola hawajacheza, utaona hata bench analo zuri , mambo yakuanzisha makinda kwa sasa asubiri kuna mech za Europa , carabao ,aweke watu wakaz atengeneze timu ya ushindan

Arsenal ya sasa watamtimua nakuambia
Mi nimeongelea msimu uliopita ishu ya kubadili mfumo, Sasa Kama unaongelea ishu ya wachezaji wazuri kukaa nje msimu huu that's another case.Nafikiri atakuwa katoa sababu kwanini anawaacha nje.
 
Mi nimeongelea msimu uliopita ishu ya kubadili mfumo, Sasa Kama unaongelea ishu ya wachezaji wazuri kukaa nje msimu huu that's another case.Nafikiri atakuwa katoa sababu kwanini anawaacha nje.
Ngoja uone mech na Liverpool
 
Alexis will only be remembered for his time at Arsenal, but more so for his performance on the piano.
 
Guendouzi:

'Auba gives me a little punch on my left shoulder every morning, with his attacking colleague Lacazette, every morning. They are really important to me. They are like two big brothers ever since I arrived.'
 
Back
Top Bottom