Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya miaka 10 kwa mara ya kwanza Arsenal inashinda mechi mbili za mwanzo wa msimu.

Dani Ceballos MOTM

Up next Anfield to Liverpool.

Hii tukitoa sare litakuwa jambo la uzuri.
We gonna aim high, we have a week to prepare bro
 
Baada ya miaka 10 kwa mara ya kwanza Arsenal inashinda mechi mbili za mwanzo wa msimu.

Dani Ceballos MOTM

Up next Anfield to Liverpool.

Hii tukitoa sare litakuwa jambo la uzuri.
Let's hope tuna vifaa hatujavichezesha ambavyo vitatusaidia kwenye game na Liva.

Chelsea walipigwa 4. Wavimba macho tukalaumu Kante kwavile hakuanza, true enough mechi na Liva Kante kaanza pale kati pakawa hapatoshi.

Guendouz akianza tunakufa.
 
Anasemaje, Leo hata mech sijaangalia
Anasema it was so tricky game, putting barnes and wood in the pocket, all credits should go to sokratis and Luiz.

Anazungumzia ile game ya kibabe ile (something arsenal have been missing for sometimes now)
 
Simchukii. Ila naona hajatosha bado.

Yule atengeneze stamina, ajenge control atakua bonge la mtu.

Ceballos hii ni mechi ya 2 lakini kila sehemu mpira upo na yeye yupo na anaufanya poa kuliko Guendouz
Sikatai kama ceballos amefanya njema sana, am happy for the same. Halafu hao wawili wanacheza namba tofauti, pengine hiyo zuia zuia ya Guendouzi ndio inampa uhuru ceballos kufanya yake
 
Wakuu nasikia ceballos kauwasha

Nipen tathimin ya pepe

Leo nipo kanisan sijaangalia mpira
Ceballos kauwasha.

Kila mpira ulipo yupo.

Anajua kukaba.

Anatoa pasi.

Anapiga chenga za maudhi hadi watu wanamkumbatia. Hiki cheo cha ujuzi wa chenga tulitaka kumpa Iwobi, ila C3ballos hatumpi ni kachukua tayari.
Akiwa constant na hichi kiwango, Xhaka na Ozil watasahaulika.

Pepe bado anahitaji muda. Ila anafocus na mchezo, anamtoka mtu vizuri, kwenye pasi naamini kuna kitu anataka hakiwi ila kikiwa itakua ni uhakika na magoli.

Baada ya Pepe kuingia wachezaji wakawa wanampelekea sana mipira nahisi huko mazoezini hua anawaonyesha kazi zaidi ya tunayoiona huku uwanjani.

Hawa wote wapewe game time zaidi.
 
Wakuu nasikia ceballos kauwasha

Nipen tathimin ya pepe

Leo nipo kanisan sijaangalia mpira
Kakiwasha ceballos noma! Nina uhakika liver wanajambiana tu huko. Ceballos was exceptional today.

Pepe is still warming up but from next week he will be starting na hapo ndio watajua wapinzani
 
Ceballos kauwasha.

Kila mpira ulipo yupo.

Anajua kukaba.

Anatoa pasi.

Anapiga chenga za maudhi hadi watu wanamkumbatia. Hiki cheo cha ujuzi wa chenga tulitaka kumpa Iwobi, ila C3ballos hatumpi ni kachukua tayari.
Akiwa constant na hichi kiwango, Xhaka na Ozil watasahaulika.

Pepe bado anahitaji muda. Ila anafocus na mchezo, anamtoka mtu vizuri, kwenye pasi naamini kuna kitu anataka hakiwi ila kikiwa itakua ni uhakika na magoli.

Baada ya Pepe kuingia wachezaji wakawa wanampelekea sana mipira nahisi huko mazoezini hua anawaonyesha kazi zaidi ya tunayoiona huku uwanjani.

Hawa wote wapewe game time zaidi.
Asanteni ,nimeelewa sasa
 
Sikatai kama ceballos amefanya njema sana, am happy for the same. Halafu hao wawili wanacheza namba tofauti, pengine hiyo zuia zuia ya Guendouzi ndio inampa uhuru ceballos kufanya yake
Hahaha ok mechi bado zipo Guendouz atathibitisha nani yupo sahihi kati ya wewe na mimi
 
Anasema it was so tricky game, putting barnes and wood in the pocket, all credits should go to sokratis and Luiz.

Anazungumzia ile game ya kibabe ile (something arsenal have been missing for sometimes now)
Luiz ni kama Mustafi katika kukabia macho lakini kwenye hii game jamaa kawa mtamu. Kablock attempts nyingi mno.
 
Wakuu nasikia ceballos kauwasha

Nipen tathimin ya pepe

Leo nipo kanisan sijaangalia mpira

Pepe bado anaangalia ustaarabu wa mabeki.

Anazoea taratibu akipenda kushinda upande wa kulia wa timu pinzani.

Hivyo atakabiliana vilivyo na beki wa kushoto wa Liverpool Andrew Robertson.

Amejaribu kuwazungusha mabeki wawili watatu leo.

Mechi na Liverpool ndo itatoa picha halisi ya first 11 ya Arsenal dakika 45 za mwanzo.
 
Ozil, shaka, bellerin, Tierney, elneny, mkhitaryan, holding, mavropanos, chambers, Martinez, saka

Hiyo ni timu nyengine that could play a game later today against Chelsea na ikashinda
Ukiwa serious na maisha utashabika mambo ya maana siyo huu utumbo ulioandika hapo.
 
Mechi ya kwanza Soton alipigwa labda kwa Liva atakaza. Hahaha wimbo ninaousikia kabla game kuanza ni Hate Me Now wa Nas na Diddy
 
Luiz ni kama Mustafi katika kukabia macho lakini kwenye hii game jamaa kawa mtamu. Kablock attempts nyingi mno.
Luiz tangles with Wood


Nakubaliana na wewe kabisa.
 
Back
Top Bottom