Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaongea nn wewe rugani 24yrs alikuwa anapatikana kwa loan ya miaka 2 na option ya kununua kwa 40m
Unatoaje 40 kwa benchwarmer ? Huo ujinga ndio bodi haitaki , ndio maana walikuwa tayari kutoa 60 kwa Dayot ambaye amethibitika ni bora na anacheza daily,
 
We kick-off our 2019/20 Premier League season away to Newcastle United on Sunday afternoon.


Here's the latest update from our medical team ahead of our match at St James' Park:

*Alex Lacazette*
Right ankle. Will continue to be assessed ahead of Sunday’s match at Newcastle.

*Nicolas Pepe*
Regaining full match fitness following late return from African Cup of Nations. Decision to be made on participation for Sunday.
Hector Bellerin
Left knee. Continuing with on-field rehabilitation. Aiming to participate in full training in October.

*Rob Holding*
Left knee. Continuing with on-field rehabilitation and now participating in full training with the first team.

*Dinos Mavropanos*
Groin. Continues to receive treatment and further assessment. Will be out of action for at least 6-8 weeks.

*Emile Smith Rowe*
Groin. Progressing well in training and aiming to re-join the first team squad in 1-2 weeks

*Mohamed Elneny*
Regaining full match fitness following late return from African Cup of Nations. Decision to be made on participation for Sunday.
 
Taarifa kutoka kitengo cha matibabu Arsenal

Lacazette
Majeruhi kifundo cha kulia cha mguu. Hali yake inaangaliwa

Pepe
Anaendelea kuimarika kimazoezi kutokana na kuchelewa kurudi kutoka #AFCON

Bellerin
Majeruhi goti la kushoto. Anaendelea kupona na atarudi mwezi Oktoba

Rob Holding
Majeruhi goti la kushoto. Anaendelea kupona na akiwa ameshaanza mazoezi na timu

Elneny
Anaendelea kuimarika kimazoezi kutokana na kuchelewa kurudi kutoka #AFCON

Mavropanos
Majeruhi kiweo. Anaendelea kutibiwa, atakua nje kwa wiki 6 mpaka 8

Smith Rowe
Majeruhi kiweo
 
Takribani masaa 12 yakisalia kabla ya mechi ya ufunguzi wa ligi kuu ya Uingereza.

Ewe shabiki wa klabu pendwa ya Arsenal , follow fan page hii kule tweeter @ArsenalFC_TZ kwa taarifa zote kuhusu #AFC
 
Beki Kieran Tierney atavaa jezi namba 3 kwa msimu wa 2019/20

Jezi hii imewahi kuvaliwa na mabeki nguli hawa hapa

¬Kieran Gibbs
¬Bacary Sagna
¬Ashley Cole
¬Tony Adams
¬Lee Dixon
IMG-20190809-WA0008.jpeg
 
Nisema tu ukweli Arsenal na Spurs ndo timu zilizofanya usajili mzuri, timu za kutoka Manchester zimefanya usajili wa gharama ila wa kawaida (note: ni usajili mzuri kwa upande wa makaratasi) ivyo tunategemea makombe mengi kwenye clabu hizi mbili za kutoka London.

Kama Arsenal musipobeba makombe zaidi ya mawili msimu huu basi Unai aondoke tu. Na timu yenu itakuwa ni kama genge la waimba taarabu tu,,

Yaani unafananisha usajili wa man City na taka taka za arsenal we sio mzima
 
Unatoaje 40 kwa benchwarmer ? Huo ujinga ndio bodi haitaki , ndio maana walikuwa tayari kutoa 60 kwa Dayot ambaye amethibitika ni bora na anacheza daily,

Sasa juve wakisema wakuuzie beki wao chaguo la kwanza anaanzaje kuja katika timu ndogo kama arsenal wazee wa europa league
 
Hata Niles ni mdogo ujue.

Matteo anahold mpira ila kuchukuliwa rahisi, pia pasi zake ni za kusakazia
Potential kwa Niles sioni kabisa,huyu kinachofuata kwake ni kuuzwa kama Iwobi na Jenkinson.
 
Yaani watu wanavyoumia ,

Awali waliweka kambi humu kuwa tuna bajeti ya 40

Tumeziba magape kwa 70% huku bodi ikiondoa deadwoods na Kuanza kujenga klabu kwa kuleta Wachezaji wenye hadhi,

Wanakuja hao hao waliosema tuna 40 tutasajiri nini na kuanza kutoa povu


Tuachieni timu yetu ,tunaijua wenyewe,EPL imeanza tutakutana kwenye pich
 
Prediction line up vs Newcastle

Arsenal XI (4-2-3-1):

Leno, Maitland-Niles, Chambers, Sokratis, Kolasinac, Xhaka, Guendouzi, Aubameyang, Ozil, Mkhitaryan, Lacazette.
 
Nisema tu ukweli Arsenal na Spurs ndo timu zilizofanya usajili mzuri, timu za kutoka Manchester zimefanya usajili wa gharama ila wa kawaida (note: ni usajili mzuri kwa upande wa makaratasi) ivyo tunategemea makombe mengi kwenye clabu hizi mbili za kutoka London.

Kama Arsenal musipobeba makombe zaidi ya mawili msimu huu basi Unai aondoke tu. Na timu yenu itakuwa ni kama genge la waimba taarabu tu,,
Ni kweli arsenal wamefanya usajili mzuri ila tusitegemee makombe haraka kiasi hicho, tutegemee kikosi chenye ushindani, wakati mwingine makombe niseme sijui ni zali baada ya kuwa na timu ya ushindani, kombe ambalo kuna asilimia kubwa kubeba arsenal ni Europa tu nayo sio 100/100

Liverpool klopp kakaa misimu kadhaa bila kombe, kikubwa ni timu nzuri na yenye ushindani na kwangu naona unai hajamaliza yaani hajatengeneza ile timu anayoitaka bado yupo katika safisha safisha na kuziba ziba nyufa mpaka timu ikamilike, klopp msimu huu hajasajili kabisa, man city kafanya usajiri kidogo tu rodri kwa ajili ya fernandinho ambae umri umeenda, danilo wamembadili na cancelo.. so hawa wawili ndio wenye timu za ushindani uingereza japo Liverpool hana kikosi kipana kama man city.
 
Niles wanamchezesha namba tofauti jamaa ni kiungo wa chini wao wanamchezesha namba 2 ni kumpa tabu, nadhani tumhukumu akicheza nambari yake.
Niles hamna kitu mkuu, ana makosa mengi kama Mustafi, anapata game time sana ila anashindwa kuimprove, paka nawaza kwenye tough games kama Liver na Spurs ikiwa belle hajarudi sijui itakuaje kwenye upande wake maana ni njia ile.

Matteo yuko vizuri sana anaprogress, refer umri wake, kumbuka kiungo anaeweza kuhold mpira ni yeye tu ukimwacha Ozil. Xhaka hawezi kuhold but ni mzuri kwenye distributions, ila matteo anahtaj stamina tu ya kupambana na viungo wagumu.
 
SAFISHA SAFISHA INAENDELEA ARSENAL

Emery [press conference]:


“In the next 20-25 days some players will leave. It’s the reason, I want to close our squad clearly.”
 
Back
Top Bottom