Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni mimi pekee yangu ninayeona Nelson na Willock wanatakiwa kutumika Carabao Cup na baadhi ya mechi kuingizwa dakika ya 80?
 
Half time:

Ceballos katisha.

Leno katisha.

Luiz katisha.

Niles katisha.

Aubameyang katisha.

Waliobaki ni wastani
 
Hivi hao Nelson na Willock ndo wanazuia Pepe asianze. Unai is not serious asee.
Hawa watoto wakina nelson na willock bora wangekua wanaanzia benchi na Ku ingia kipindi cha pili kama lengo nikuwapa exposure

Afu torera kwanini unai amuanzishi huyu guandozi inabidi aache ubrazemeni aende gym na pia afanyishwe mazoezi ya stamina
 
Yuko sahihi. Hichi kikosi kuna watu 4 hawatakiwi kuanza kwa maoni yangu. Guendouzi, Willock, Monreal na Nelson.
We know but hatuwezi kuchezesha all the time watu hao hao. Hata hivyo hao vijana ni lazima wampate game times
 
Unausajili ghali zaidi kwenye timu alafu anaanzia bench, hio mabaharia tunasema.. “ni sawa na kujifunika shuka alafu unajamba”
 
Back
Top Bottom