milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Unai unai kaanza tena masihara kwa kupanga watoto wakati wakali wanakaa benchi pepe kanunuliwa kwa hela kubwa halafu yupo benchi dah!!!!
Hiyo ikuonyeshe mchezaji yeyote akitoka Chelsea ana namba ya kuaminika Arsenal. Maana Luiz tangu blunder alizofanya mechi ya Red Bull aliambiwa hatapata namba first eleven kutokana na weakness zake. Lakn naona mmempokea kama shujaa.Akicheza na Three at the Back itawaaccomodate wote kwa pamoja luiz,chambers na Papa ,nadhani ni option nzuri zaidi kwa uhakika wa kujilinda.
Matteo na willock kwa muda huu kuwa regular starter mimi naona bado mkuu, sijui wewe unaonaje?
Kocha anaweza kufelishwa na uchaguzi anaoufanya, maana kuna hawa madogo naona wanaenda kujihakikishia namba for nothing,
Nelson huyu ameshaiva ikiwezekana apewe namba ya kudumu.
Unai hii arsenal haiwez na atafukuzwa soon,Hiyu kocha wenu vipi watu tunataka tuone combination ya Auba ,Lacazette, Pepe anaweka vitoto vyake.


Hahaa.. Mwisho wa msimu mtamuelewa tu.Pepe una mueka nje kwa sababu gani
Anzisha mashine zote
Aaa isitoshe torreira
Nae yupo njee Simuelewe ujue Unai
Kama Giroud vileHiyo ikuonyeshe mchezaji yeyote akitoka Chelsea ana namba ya kuaminika Arsenal. Maana Luiz tangu blunder alizofanya mechi ya Red Bull aliambiwa hatapata namba first eleven kutokana na weakness zake. Lakn naona mmempokea kama shujaa.
Hahaha wakati mnakubaliana mlikua mshakula sigara pori?Friends of Bunley ni kama tulivyokubaliana katika kikao kilichopita, tunakaba PAPA, tunakaba PEPE tunakuja kumalizia na kukaba PIPI.. FT Draw inatutosha
Mkuu,nimeshangaa sana na wewe unaamini ramliKwakua mpo nyumbani draw itapendeza.