Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal haiperfom kabisa mechi ya kwanza tulishinda kwa shda hii nayo pia haieleweki sababu ni upangaji wa kikosi kwa ujumla
 
Mchezaji mpya hawezzi ku adapt mfumo wa timu kwa kumuweka benchi huyu Unai ni bure kabisa
 
Back
Top Bottom