Mtapata tabu sanaFriends of Bunley ni kama tulivyokubaliana katika kikao kilichopita, tunakaba PAPA, tunakaba PEPE tunakuja kumalizia na kukaba PIPI.. FT Draw inatutosha
Namkubali sana Guendouzi na nakubaliana na kocha kumchezeshaSimkubali Guendouzi namuona hapa anajichekesha.
Tatizo hana control, stamina, na ana pasi za kusakiziaNamkubali sana Guendouzi na nakubaliana na kocha kumchezesha
Leo utamkataa subiriNamkubali sana Guendouzi na nakubaliana na kocha kumchezesha
Control nakubaliana na wewe ila sio stamina, kijana rate yake ya ku-win mipira ya juu ni mizuri, ana pumzi za kutosha, ana stamina nzuri, he is one of us as well.Tatizo hana control, stamina, na ana pasi za kusakizia
Mzee una wasiwasi tu.Arsenal haiperfom kabisa mechi ya kwanza tulishinda kwa shda hii nayo pia haieleweki sababu ni upangaji wa kikosi kwa ujumla
Sawa sheikh yahayaPoint moja leo inawahusu....
Yuko sahihi. Hichi kikosi kuna watu 4 hawatakiwi kuanza kwa maoni yangu. Guendouzi, Willock, Monreal na Nelson.Mzee una wasiwasi tu.