Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Reports in Spain say Philippe Coutinho is on his way out of Barcelona, with a loan move to the Premier League being sorted out...

But who is interested? Arsenal, Liverpool, Man Utd!??

#TransferTalk #Barca #AFC #LFC #MUFC https://t.co/aR4JXTQHGA
Screenshot_2019-08-02-23-23-06.jpeg
 
Ornstein:

"Well, before deadline day, Arsenal want to bring in a centre half if possible. Left back Kieran Tierney is the target, we all know about that. Arsenal retain their interest in him." #afc
 
Ornstein:

"Well, before deadline day, Arsenal want to bring in a centre half if possible. Left back Kieran Tierney is the target, we all know about that. Arsenal retain their interest in him." #afc
Pepe kapewa mshahara kiasi gan kwa week?
 
According to various sources, Liverpool are in talks with @FCBarcelona regarding two year loan with option to buy for #Coutinho. We also been told Arsenal have been offered Coutinho in last 24 hours but wants #LFC to make offer

#Dembélé also being discussed as a option for lfc
 
Hizo ndoto zilikuwa enzi akiwa Anger hata hajaenda lille

Sasa hivi ndoto zake ilikuwa aje Arsenal
Iyo ni baada ya kuja cunajua tena ndo anapopatia ugali wake..kaja kuchuma za kwake asepe ..Chelsea ndo destination yake, kaa kutulia muda ukifika.
 
Alikuwa anadanga humu ohoo MNA bajeti ya 40 , hakujua hiyo ilikuwa mind game tu ya viongoz wa Arsenal kwenye soko la USAJIRI,

Jana Rais wa lille kathibitisha kapokea €80m cash ,

Anayesema tumelipa mafungu ajiulize

Kulikuwa na Timu hizi Arsenal,PSG,Liverpool,man u, Napoli , na timu mbili kutoka Spain zote ziliweka mezani €80m

Hadi wiki iliyopita ijumaa usiku mawakala wa Pepe walikuwa Napoli na picha wakapiga wakikaribia kumaliza dili, SAA 7 usiku Arsenal anapanda dau na Pepe anapewa bonuses nzuri na kuonyeshwa Project ya Arsenal,

Maswali kwa wanaosema tunalipa kwa mafungu kama wanavyoamin ,Inakuwaje lille waache £72m(€80m) Cash za NAPOLI,PSG, MAN U ,n.k wachukue mafungu mafungu ya Arsenal kama media za Uingereza zinavyotaka kuaminisha watu.

Maana siku Arsenal amepeleka OFA kwa lille ya euro mil 72 , L EQUIPE walilipoti , Haikupita dk 5, vyombo vya Uingereza vile vile vilivyosambaza propaganda kuwa arsenal INA bajeti ya 40 , vikapinga vikasema Arsenal hawez kutoa hela hiyo.

Juzi Arsenal amebadili upepo wanakuja na propaganda kuwa ni kwa mafungu.

Arsenal kwa mwaka wanalipa £240m wage bills , wanaingiza £500m kwa mwaka,

Kuna dili la Adidas £60m KWA mwaka

Emirates £30m per yr

Kagame anatoa £10m per yr

Halafu MTU anaamin propaganda hiyo kuwa bajeti ni £40-45m
Sio mind game wala nini ..ni baada ya mgt yenu kulia lia mkakubaliwa kulipa kwa mafungu, halafu kutangazwa imelipwa cash yote iyo ni illusion tu maana ni mkataba tiyari uwakika wa kutoka iyo upo, ila kwa mafungu mafungu.
 
Una Moyo mkubwa sana,hivi mchezaji gani wa maana atakuwa na ndoto za kuchezea timu ndogo kama chelsea?nyinyi ni underdog pale england sawa na nottingham forest,blackburn rovers na leicester city
Ulaya na dunia mzima wanaelewa matajiri, wababe, wakubwa wa London wauni wa town ni akina nani ..sasa wee kaa apo umebisha maharage unapumua unajipa moyo na hii Arsenal iliyojichokea. Unai keshasema msitegemee chochote msimu huu..
 
Kwani legend wenu DROGBA alikua anaipenda timu gani kipindi hajaja chelsea,,,mbn unaongeaga pumba we jamaa!
Drogba ilikuwa ni utoto unamsumbua alivyokaa Chelsea msimu mmoja akagundua kuwa timu ya kukuzia jina sio nyingine ni Arsenal. Siku aliyoondoka Chelsea fan boys wa AssAnal mulifurahi kuliko pita maelezo...
 
Another possible way of lining up:
4-3-3
Leno

Bellerin Sokratis Holding Tierney

Torreira Xhaka

Ceballos/Ozil

Pepe Auba
Laca
Huwa sajili zenu zinaonyesha Arsenal itakimbiza kinoma, lakin mambo yanakuja kuwa Yale Yale ..msimu uliopita mulichukua yule papanin sjui, gundogazzi, Toroira, Leno, na wengine wengin. Badae mukaongeza d Suarez ..tatizo niny munasajili wachezaji munaotaka ninyi tu ..husikii timu ingine ikiwataka. Ndo tatizo apo na hamustuki..mnaleta magarasa yanacheza gemu tano/sita yameshachoka. Uyo Pepe katoka ligi ya wakulima uko kaja kukutana na viungo wenye roho mbaya akina Kante Ngolo, Joghihno, ajakutana na kiungo ya Liver, kuna iyo ya manure achana na iyo ya Man city kuna iyo ya spurs na madogo flan if wa Everton na mbeha wenye njaa kali Wolverhampton hahaha hii timu ya arsenal ni vichekesho kweli kweli. Halafu munaona mumesajili na ela zenu za kulipa kwa mafungu
 
coutinho anaenda kucheza wapi?! arsenal kuna iwobi,nelson,Auba na mikki...alafu msharaha wake ni mkubwa sana.....vipi hapo aroon?
Mshahara wake ni makubaliano tu ,either walipe wote wawili au anayemmilik mchezaji, halafu swala la namba lisikupe shida ,atacheza tu, halafu sasa hiv kuna watu wanaondoka ,
 
Goal | Arsenal are open to offers for Shkodran Mustafi, while Laurent Koscielny is expected to leave for Bordeaux - with the two clubs currently in talks about a deal. #afc
 
Drogba ilikuwa ni utoto unamsumbua alivyokaa Chelsea msimu mmoja akagundua kuwa timu ya kukuzia jina sio nyingine ni Arsenal. Siku aliyoondoka Chelsea fan boys wa AssAnal mulifurahi kuliko pita maelezo...
Kwa hiyo Drogba kusema anaipenda Arsenal kwako umetafsiri ni utoto,ila pepe kwa chelsea umeona si utoto!!

Grow up,mzee, come into the reality ushabiki wa kimahaba mbaya sana

we pepe kuja Arsenal umeumia kweli yani, na ndio kashakuja arsenal now, anavaa jezi nmb 19.
 
Back
Top Bottom