In the end what counts ni usajiri acha reasoning za sungura aliechemka ndizi
Alikuwa anadanga humu ohoo MNA bajeti ya 40 , hakujua hiyo ilikuwa mind game tu ya viongoz wa Arsenal kwenye soko la USAJIRI,
Jana Rais wa lille kathibitisha kapokea €80m cash ,
Anayesema tumelipa mafungu ajiulize
Kulikuwa na Timu hizi Arsenal,PSG,Liverpool,man u, Napoli , na timu mbili kutoka Spain zote ziliweka mezani €80m
Hadi wiki iliyopita ijumaa usiku mawakala wa Pepe walikuwa Napoli na picha wakapiga wakikaribia kumaliza dili, SAA 7 usiku Arsenal anapanda dau na Pepe anapewa bonuses nzuri na kuonyeshwa Project ya Arsenal,
Maswali kwa wanaosema tunalipa kwa mafungu kama wanavyoamin ,Inakuwaje lille waache £72m(€80m) Cash za NAPOLI,PSG, MAN U ,n.k wachukue mafungu mafungu ya Arsenal kama media za Uingereza zinavyotaka kuaminisha watu.
Maana siku Arsenal amepeleka OFA kwa lille ya euro mil 72 , L EQUIPE walilipoti , Haikupita dk 5, vyombo vya Uingereza vile vile vilivyosambaza propaganda kuwa arsenal INA bajeti ya 40 , vikapinga vikasema Arsenal hawez kutoa hela hiyo.
Juzi Arsenal amebadili upepo wanakuja na propaganda kuwa ni kwa mafungu.
Arsenal kwa mwaka wanalipa £240m wage bills , wanaingiza £500m kwa mwaka,
Kuna dili la Adidas £60m KWA mwaka
Emirates £30m per yr
Kagame anatoa £10m per yr
Halafu MTU anaamin propaganda hiyo kuwa bajeti ni £40-45m