zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,754
- 36,281
Hamna ni strategy.... Tunaweza kuamua msimu huu ni beki tu... Msimu ujao midfield.... Ule msimu mwingine washambuliaji.....basi kazi imeisha msimu wa 4 baadae tunarudi UEFA na Ligi tunabeba.Mkuu tukoendelea hivi amini nakwambia UEFA tutacheza 2025/2026.
Ila kama tukisajili kwa kuunga unga bila shabaha yatatukuta ya Newcastle,Leeds au Balck burn leo hii hamna anayeweza kuamini ziliwahi kuwa tishio ligi kuu ya uingereza miaka ya 90