Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vip hapa mshasajili galasha gani mpaka sasa? Au mnasubiri dirisha likishakaribia kufungwa mkagombee wachezaji wa mafungu
 
Kutoka kwa David ornstein BBC
Screenshot_2019-06-22-18-20-58.jpeg
 
Vip hapa mshasajili galasha gani mpaka sasa? Au mnasubiri dirisha likishakaribia kufungwa mkagombee wachezaji wa mafungu
Mkuu awa wana pound million 40 tu ivyo wanasubiri ule muda wa lala salama ili waokoteze wakina gundogazzi wapya hahaha
 
Ornstein anasema kuhusu ishu ya Kieran Tierney kwamba Kuna uhakika mkubwa sana wa makubaliano kufikiwa kati ya Arsenal na Celtic na kuhusu maswala binafsi kati ya Tierney na Arsenal haina Tabu Ni kwa mujibu wa David Ornstein
 
ARSENAL SET LUCAS TORREIRA TRANSFER FEE AS AC MILAN PUSH TO LAND URUGUAYAN

Arsenal will demand £45million from AC Milan for Lucas Torreira if the midfielder asks to leave this summer.

Torreira's future is in serious question just one year on from his £26million arrival from Sampdoria.

The Uruguay international, 23, played 50 times for the Gunners in his debut campaign at the Emirates.

But the player has struggled to settle in England and is keen on a return to Italy
Torreira hauzwi, Ac milan msijisumbue, full stop.Unless wekeni dau £90+million... Huyu Gazidis vipi?
 
Vip hapa mshasajili galasha gani mpaka sasa? Au mnasubiri dirisha likishakaribia kufungwa mkagombee wachezaji wa mafungu
Hutujasajili galasha na tunasubiri tugombee wa mafungu, una lingine?
 
Back
Top Bottom