Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Teenage Saint-Etienne defender William Saliba wants to join Arsenal, but a move still must overcome difficult hurdles, according to the Daily Star.

The 18-year-old is close to agreeing a five-year deal with the Gunners, but Saint-Etienne want Saliba to remain on loan at the club next season.

Arsenal manager Unai Emery is hesitant to use up a substantial part of his transfer budget on the £27 million ($34m) rated defender if he cannot use him in the coming year.
 
Both Reiss Nelson and Matteo Guendouzi where names in L’equipe’s best players u20 list.
Did they get their places right?
thedailygooner-20190618-0001.jpeg
thedailygooner-20190618-0002.jpeg
thedailygooner-20190618-0003.jpeg
 
Arsenal have agreed terms on a 5 year contract with Saliba according to L’Equipe....
However a fee is yet to be agreed and it is believed St Etienne will only sell if he is loaned back for one year
This is not good news, as we need him right now, however lots of other big clubs are interested and we cannot let Saliba slip through our fingers...
exclusivearsenal-20190618-0001.jpeg
 
OFFICIAL: Arsenal have confirmed their release list. - Cohen Bramall
- Petr Cech
- Charlie Gilmour
- Stephan Lichtsteiner - Julio Pleguezuelo
- Aaron Ramsey - Danny Welbeck
 
Saliba made 16 league appearances in his break-through season for St. Étienne. The French u/20 international also featured as right back on four occasions.
instaarsenal2.0-20190618-0001.jpeg
 
A Brazilian wonderkid. Thoughts on this guy?
Some stats, Gabriel Martinelli in the Campeonato Paulista this year:

11 games
- 6 goals
- 3 assists
- 169 passes (78% accuracy)
- 32 completed dribbles
- 11 tackles
- 10 interceptions
- 12 air disputes won. (Stats via rehnato on Twitter)
(Image via OsmanZthegooner on Twitter)
classygunners-20190618-0001.jpeg
 
Tunapoelekea kwa usajili huu,kunawezekano msimu ujao nikajipa likizo ya kuwa mshabiki wa Arsenal manake kila siku afadhali ya jana.Manake upande wa usajili tuna bahatisha bahatisha kama wacheza kamali.
 
Maurice anakuja kuziba nafasi ya Danny Welbeck na atakuwa akicheza kama mshambuliaji kwenye mechi kama FA Cup, Carabao na Europa.

Arsenal wanataka awe anawapunzisha Lacazette na Aubameyang.
Lacca na Auba ndo akina nani mkuu mpaka wapumzishwe kwani nyie arsenal mna kikosi cha kupumzisha wachezaji kama ao
 
Kuna pesa kutokana na ufadhili wa Adidas kuanzia July hivyo fungu laweza kuongezeka maana itaingia takribani £60 Million msimu ujao hivyo.

Pia mauzo ya wachezaji walishakadiria yataingiza bei ngapi hivyo inawapa confidence ya kufukuzia wachezaji mbalimbali.
Wenzenu wanatoboka paund za kutosha milion 500 uko, nyie 60 tu halafu mnataka mbebe EPL na Europa. Nakwambia hata qarabao mtashiriki tu Hahaha..
 
Nyie sajilini ivyo vitoto lakini point zetu sita munazo. Na kompetisheni yeyote tutakayo kutana msimu ujao lazima mtachezea tu hakuna namna.
 
Tunapoelekea kwa usajili huu,kunawezekano msimu ujao nikajipa likizo ya kuwa mshabiki wa Arsenal manake kila siku afadhali ya jana.Manake upande wa usajili tuna bahatisha bahatisha kama wacheza kamali.
Mkuu unaweza hamia Man city au PSG kama unataka usajili mkubwa, lakini kwa sisi Arsenal usajili wetu ndio huu miaka yote
 
Mkuu unaweza hamia Man city au PSG kama unataka usajili mkubwa, lakini kwa sisi Arsenal usajili wetu ndio huu miaka yote
Hao ndio mashabiki maandazi, yaani anataka Arsenal isajili kama Man City bila kuangalia hali ya kifedha ya Club!
 
Mkuu unaweza hamia Man city au PSG kama unataka usajili mkubwa, lakini kwa sisi Arsenal usajili wetu ndio huu miaka yote

Wewe ndio nani uniambie nihamie PSG au Man City?

Wakati nilivyoichagua Arsenal uliniambia ww?

Natoa mtizamo wangu kama mshabiki wa Arsenal ninaijua Arsenal zaidi ya miaka 18 na napenda timu yangu ifanikiwe so ukitizama uendeshwaji wa usajili kipindi hiki na kipindi cha Wenger tofauti,sasa hivi lazima uweke mzigo wa maana,sisemi tuspend sana lkn atleast zile sehemu zenye mapungufu tutafute wachezaji wa maana.

Hao Arsenal na kadi zao za uwanachama huko London wanalamika kila siku kusajili wachezaji wakawaida,sembuse mie Mbonde wa huku kusini mwa jangwa la sahara ambaye sina kadi,au uonagi mibango ile anayo onyeshewa Kronke.

Club ina hela na inatengeneza mpunga mrefu kila msimu,lkn kwenye usajili tunataka vitonga.Huo ndio ukweli wenyewe kama hatusajili watu wa maana hata top 6 tutaisahahu na tutazidi kuumia.So huu ni mtizamo wangu.
 
Wewe ndio nani uniambie nihamie PSG au Man City?

Wakati nilivyoichagua Arsenal uliniambia ww?

Natoa mtizamo wangu kama mshabiki wa Arsenal ninaijua Arsenal zaidi ya miaka 18 na napenda timu yangu ifanikiwe so ukitizama uendeshwaji wa usajili kipindi hiki na kipindi cha Wenger tofauti,sasa hivi lazima uweke mzigo wa maana,sisemi tuspend sana lkn atleast zile sehemu zenye mapungufu tutafute wachezaji wa maana.

Hao Arsenal na kadi zao za uwanachama huko London wanalamika kila siku kusajili wachezaji wakawaida,sembuse mie Mbonde wa huku kusini mwa jangwa la sahara ambaye sina kadi,au uonagi mibango ile anayo onyeshewa Kronke.

Club ina hela na inatengeneza mpunga mrefu kila msimu,lkn kwenye usajili tunataka vitonga.Huo ndio ukweli wenyewe kama hatusajili watu wa maana hata top 6 tutaisahahu na tutazidi kuumia.So huu ni mtizamo wangu.
Mkuu klabu imeshindwa kufuzu ligi ya mabingwa ulaya misimu 3 sasa automatic hata uchumi utashuka....kama tungefuzu bajeti yetu ya usajili ingekuwa £100m+....
Klorenke hahusiki na usajili kwa namna yoyote ile
 
Mkuu klabu imeshindwa kufuzu ligi ya mabingwa ulaya misimu 3 sasa automatic hata uchumi utashuka....kama tungefuzu bajeti yetu ya usajili ingekuwa £100m+....
Klorenke hahusiki na usajili kwa namna yoyote ile
Sasa tatizo nini?Wewe club kama Arsenal msimu uliopita tumezidiwa hata na Everton kwa bajeti ya hela ya usajili ,sometime tuwe wa kweli Arsenal ina matizo kama sio bosi Kronke basi management ina tatizo,naipenda sana Arsenal ila ukweli lazima uzungumzwe.
Wanagalie wenye Arsenal yao ambao wana kadi za uwanachama na uchungu wa club yao ya London.
images (6).jpeg
 
Sasa tatizo nini?Wewe club kama Arsenal msimu uliopita tumezidiwa hata na Everton ,sometime tuwe wa kweli Arsenal ina matizo kama sio bosi Kronke basi management ina tatizo,naipenda sana Arsenal ila ukweli lazima uzungumzwe.
Ndio nakubaliana na ww management ina matatizo...but hili naamini tutalipatia ufumbuzi...
Arsenal alizidiwa na Everton nn??
 
Back
Top Bottom