Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Wewe na miaka yako 18 kiushabiki lakini unaonekana bado Arsenal huijui.Arsenal inatransfer approach yake tofauti na PSG au Madrid, huwezi kulazimisha Arsenal isajili big names wakati transfer policy haipo hivyo.Wewe ndio nani uniambie nihamie PSG au Man City?
Wakati nilivyoichagua Arsenal uliniambia ww?
Natoa mtizamo wangu kama mshabiki wa Arsenal ninaijua Arsenal zaidi ya miaka 18 na napenda timu yangu ifanikiwe so ukitizama uendeshwaji wa usajili kipindi hiki na kipindi cha Wenger tofauti,sasa hivi lazima uweke mzigo wa maana,sisemi tuspend sana lkn atleast zile sehemu zenye mapungufu tutafute wachezaji wa maana.
Hao Arsenal na kadi zao za uwanachama huko London wanalamika kila siku kusajili wachezaji wakawaida,sembuse mie Mbonde wa huku kusini mwa jangwa la sahara ambaye sina kadi,au uonagi mibango ile anayo onyeshewa Kronke.
Club ina hela na inatengeneza mpunga mrefu kila msimu,lkn kwenye usajili tunataka vitonga.Huo ndio ukweli wenyewe kama hatusajili watu wa maana hata top 6 tutaisahahu na tutazidi kuumia.So huu ni mtizamo wangu.
Halafu Kuzidiwa bajeti na everton kwenye usajili sio tija, kwani hata spurs pia alizidiwa bajeti na hao everton lakini vipi kuhusu achievement?.
BTW hata hao mashabiki wa uingereza wanaoprotest hujawaelewa tu. Hao wanataka mfumo ubadilike tuingie kwenye kusajili majina na ndio maana wana mmention kroenke kama tatizo, wanaonekana hawana tofauti na wewe ndio walewale tu mnaoamini kwenye majina makubwa
Jifunze kwa club kama ajax mkuu, bajeti yao ya usajili ni ndogo lakini walete hao wanaomwaga pesa wanapigwa kama wamesimama.
Kwa ushauri tu unaweza hamia psg au city ili usiumie sana maana kule utapata unachokitaka, wachezaji kama wakina Neymar, mbappe wapo kule, sisi wetu matteo,maurice na martinelli.