Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unai Emery iondoe hii mizoga;

Mustafi, Iwobi, Lichtsteiner, Elneny, Mavropanos, Monreal, Jenkinson, Wekbeck, Denis Suarez.

Usajili umefunguliwa rasmi jana usiku. Wazee wa tetesi tumeanza na Walter Kanneman ambapo taarifa zinasema arsenal tumetuma rasmi ombi la kumsajili beki huyo wa kati wa kimataifa Argentina anayekipiga ktk klabu ya Gremio
Arsenal imekuwa ikimfuatilia Kannerman kwa muda mrefu sasa

Halaf ni left foot
Kanemman ni mzee wa viatu na Anakaba kwa nguvu ngoja tuone dili litaendaje


Hapa naziona taa nyekundu zikimuwakia Mustafi.

HV jamaa anakwama wapi mbn kwangu namuona ni beki aliyekamilika ukimchek kwa haraka???
Mfn ana nguvu,ana mbio,anajua kutembea na MTU na akamvuluga asifanikishe lengo n.k ambazo NADHANI ni sifa za beki no4 yeyote!
Nlikuw namwelewa Mustafi sana ila ameniangusha kwa kiwango cha lami.
 
HII NDIYO MAANA HALISI YA KUFA KUFAANA.

Unaambiwa kufungiwa kwa Manchester City kutawapa faida Arsenal na Manchester United kucheza Uefa.

Arsenal yupo na fasi ya 5 na Man U yupo nafasi ya 6.

Arsenal watapata faida hata kama hawajashinda Europa kwa vile wapo nafasi ya 5 watasogezwa juu ili zitimie timu nne kama kawaida.

Ila Man U wao watategemea matokeo ya Arsenal washinde Europa Arsenal wakibeba kombe la Europa watakuwa wame fudhu kupitia Europa ndipo Man U watachukuliwa kuziba nafasi ya Man City ili zitimie timu 5.

Kama Arsenal wasipochukua kombe la Europa itakua faida kwa Arsenal tu na Man U itakula kwao.

Hapo nawaona siku hiyo wale mashabiki wote wa Man U waliopanga kuishangilia Chelsea wataamia kuishangilia Arsenal sasa...
Sipati picha watakavyokuwa wanashangilia kwa nguvu kuuubwa kuliko hata the gunners wenyewe
 
Arsenal statement on EL Final:

"We are bitterly disappointed by the fact that due to transport limitations UEFA can only make a maximum of 6,000 tickets available to Arsenal for a stadium with a capacity of well over 60,000."View attachment 1099430
Hawa Uefa walilazimishwa kupeleka fainali huko BAKU? Matokeo yake timu zinalalamika tu usafiri shida, mashabiki wanashindwa kusafiri tiketi zimepanda maradufu.
Kupewa tiketi 6,000 ni chache sana kwa timu.
 
Hawa Uefa walilazimishwa kupeleka fainali huko BAKU? Matokeo yake timu zinalalamika tu usafiri shida, mashabiki wanashindwa kusafiri tiketi zimepanda maradufu.
Kupewa tiketi 6,000 ni chache sana kwa timu.
Wapuuz sana nimeona hata klopp kalamika hili la kuipeleka fainal BAKU, halafu wanatoa tiketi 6000 kwa timu inayojaza uwanja wa watu 60,000 ,
 
Usajili umefunguliwa rasmi jana usiku. Wazee wa tetesi tumeanza na Walter Kanneman ambapo taarifa zinasema arsenal tumetuma rasmi ombi la kumsajili beki huyo wa kati wa kimataifa Argentina anayekipiga ktk klabu ya Gremio
Arsenal imekuwa ikimfuatilia Kannerman kwa muda mrefu sasa

Halaf ni left foot
Kanemman ni mzee wa viatu na Anakaba kwa nguvu ngoja tuone dili litaendaje


Hapa naziona taa nyekundu zikimuwakia Mustafi.

HV jamaa anakwama wapi mbn kwangu namuona ni beki aliyekamilika ukimchek kwa haraka???
Mfn ana nguvu,ana mbio,anajua kutembea na MTU na akamvuluga asifanikishe lengo n.k ambazo NADHANI ni sifa za beki no4 yeyote!
Nlikuw namwelewa Mustafi sana ila ameniangusha kwa kiwango cha lami.
Mustafi alikua beki mzuri sana mwanzoni.. Ila ameshindwa kufikia ubora tuliotegemea. Mwanzoni hata timu ya Taifa alikua ni regular starter, sasa hata Rudiger ni mzuri sana kwake..
 
Wapuuz sana nimeona hata klopp kalamika hili la kuipeleka fainal BAKU, halafu wanatoa tiketi 6000 kwa timu inayojaza uwanja wa watu 60,000 ,
Hapo ni kuipa tabu club juu ya kuuza hizo tickets..6,000 pale Emirates ni kajukwaa kadogo tu.

Liverpool wamepewa 16,000 na bado wanaona haziwatoshi, sisi kupewa 6,000 ni kichekesho sana.

Cha ajabu percent kubwa ya tickets zinaenda kwa sponsors, sijui na watu wengine wasiohusika hata na Mpira. Wanapunguza ladha ya fainali.
 
Unai macho ya Ligi ya Brazil

Arsenal wapo tayari kumsajili beki wa kati wa Gremio Walter Kannemann na kuwa usajili wao wa kwanza majira ya kiangazi ( Sky Sports )

Beki huyo wa Kiargentina ameripotiwa kutaka kuondoka Gremio na kuhamia barani Ulaya huku pia vilabu viwili vya Italia vinawania saini yake , Inter Milan na Sampdoria.
 
Incoming technical director Edu Gaspar is a fan of Wilfried Zaha & wants to inject that kind of pace & directness into Arsenal’s attack but his £80m price tag means any deal would be difficult, hence discussions over Ryan Fraser (Bournemouth) & David Neres (Ajax). [Mail] #afc https://t.co/TnLwMfUGbD


#AFC have submitted a bid of £40m + Henrikh Mkhitaryan for Crystal Palace's Zaha. Club hierarchy are confident the talks will progress further. Crystal Palace are open to listening to different offers. Man United, Tottenham are also interested.

[via @JBurtTelegraph]
Arsenal have held talks over a deal for Manchester United’s Eric Bailly, while are interested in Djene Dakonam (Getafe), Mario Hermoso (Espanyol) & Samuel Umtiti (Barcelona). [Mail] #afc https://t.co/U4FY9KmJjh


Arsenal have been offered Marcos Llorente (Real Madrid) & Adrien Rabiot (PSG), with his team-mate Christopher Nkunku another option, while scouts have also watched Nicolo Barella (Cagliari) & Dennis Praet (Sampdoria). [Mail] #afc https://t.co/R7NPpke2EA
 
Njoo uchukue hii |

Mwaka 2002 aliyekuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alinukuliwa akisema "Ipo siku tutachukua ubingwa bila kufungwa mechi yoyote" baada ya hapo alichekwa sana na kukejeliwa na mashabiki na wachambuzi mbalimbali.

Lakini miaka 15 iliyopita, siku kama ya leo Arsene Wenger akafanya ndoto yake iwe kweli. Akaingia kwenye sherehe za ubingwa akiwa na T-shirt iliyokuwa na maneno ya kumkejeli zilizotengenezwa na mashabiki wa Manchester United.

ARSENE OUR LEGEND
FB_IMG_1558174168615.jpeg
 
Total tickets for each club: 6000
Arsenal tickets bought: 3000
Chelsea tickets bought: 600

Fans are not too keen on buying Europa League final tickets...


BAKU mbali sana
IMG-20190518-WA0009.jpeg
 
Christian Bielek ni mchezaji wa Arsenal aliyecheza kwa mkopo chalton msimu huu unaoisha..nmemfatilia kwa karibu ameonyesha kiwango kikubwa sana akiwa na chalton alicheza kama beki wa kati na pia kama kiungo mkabaji...the way alivyoimprove ningependa kuona kocha anampa nafasi this pre-season nina uhakika kocha atakubali kazi ya huyo dogo..


Dogo amerudisha ile confidence yake ya zamani..alipokuja Arsenal..hadi wenger alikuwa anamkubali na wenger alitegemea huyu dogo atoboe haraka kwenye timu ya wakubwa lakn bahati mbaya akaja kuumia goti akakaa nje msimu mzima lakn tangu apelekwe mkopo aisee duuuh kaupiga hatari..
 
" My ultimate dream ? I have 2 clubs, Arsenal and Barcelona. Those are my ultimate dream "

- Hakim Ziyech

Hey Arsenal, just pay the fu*king money. Its a matter of satisfying a poor man's dream
 
Arsenal x Adidas kit deal will officially start from July 2019... 25 years on from when they last wore the famous three stripes!

New deal will bring £60m a season for five years and returning back to Adidas since 1994.

Which is your preferred option 🇦 🇧 🇨 or 🇩?
IMG_20190518_133546.jpeg
 
Arsenal have made contact with Crystal Palace over Wilfried Zaha

• Price tag much less than the reported £100m
• Still very early & only an enquiry
• Arsenal are genuinely interested in the player

I know I was adamant we were never in for Zaha but turns out we have interest
 
Back
Top Bottom