Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ngoja kubeba kwanza Europa ,maana mshaanza kelele
kwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupu
 
Ngoja kubeba kwanza Europa ,maana mshaanza kelele
kwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupu
 
#AFC | So that's now three players confirmed leaving.

• Cech
• Ramsey
• Welbeck
 
Very sad
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Unakuja kila siku Hivi hiv, baadae unapotea jumla,

Kwa akili yako unadhan namba 6 itawatoroka
Kitu Arsenane wanajifanya hawajui ni kwamba mechi yao ya mwisho na Barnley wanatakiwa kumfunga goli tisa (9) na Spurs asishinde ili acheze UCL.
 
Watford mpaka sasa wamemkazia Chelsea,

Game ni 50/50

Matokeo yalibak hivo hivo ,tukishinda bas tutakaa namba 4 ,
Hongereni...mwaka wa 10 bila kugusa UCL
 
Kitu Arsenane wanajifanya hawajui ni kwamba mechi yao ya mwisho na Barnley wanatakiwa kumfunga goli tisa (9) na Spurs asishinde ili acheze UCL.
Aliyekwambia arsenal anategemea hiyo option nan

Endelea kujifariji

Futuhi utaenda peke yako
 
Hongereni...mwaka wa 10 bila kugusa UCL
Nilikwambia namba 6 huchomoki ,ukabisha

Mmekuja kujifariji nimfunge Burney ,sijui spurz afungwe,

Wakati nguvu tunahamishia Europa ,

Futuhi mmekwalifai nyie,

Sisi bado tupo kwenye mapambano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…