Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiungo wa Arsenal Aaron ramsey ametoa shukran zake za mwisho kwa mashabiki wa Arsenal kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Nimefikiria kwa kuongea dhahiri kwamba nahisi mechi dhidi ya Napoli, Ndio ilikuwa mechi yangu ya mwisho huku nikiwa nimevaa jezi ya Arsenal.
Nasikutegemea kama ile ndio mechi ambayo itaniacha nikiwa na majeraha.
na ndio utakuwa mwisho wangu kuitumika Arsenal tena.


kwababu nilipanga kuitumikia Arsenal hadi mwisho wa mkataba wangu unapokwisha kabisa.
Nimejisikia vibaya sana kwasababu sitoweza kuwa fiti hadi mwisho wa msimu utakapokwisha.


Ila yote kwa yote kwa kipindi hiki cha kuuguza majeraha mimi bado ni mchezaji wa Arsenal.
Ila, ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa mashabiki wote wa Arsenal kwa ushirikiano wenu mkubwa.

Kitu kingine ningependa kuwajulisha kwamba safari yangu ya kuondoka ipo mbioni.
Nimeitumikia Arsenal ndani ya miaka 11.
Nilikuwa kijana mwenye umri mdogo tena wakawaida sana.
Na mpaka sasa naondoka nikiwa mwanandoa na baba wa familia ya watoto 3.
Najivunia san kwa kumbukumbu nzuri niliyoipata nikiwa ndani ya Arsenal.


Ahsanteni sana"

Bado ninayomengi ya kusema ila kwa haya machache yanatosha.
Mengine nitamalizia kwa kuwaaga kamili siku ya Jumapili ktk kukamilisha mchezo wetu wa mwisho tukiwa nyumbani.

Akamalizia kwa kusema nawashukuru sana
View attachment 1088540View attachment 1088541View attachment 1088542View attachment 1088544View attachment 1088545View attachment 1088546
Inahuzunisha sana yan, mchezaji wa kiwango cha Ramsey wa kujivunia makombe hayo kweli? Hajatwaa hata EPL moja, masikini ya mungu ona anavyo furahia. Huyu jamaa anastahili makombe makubwa makubwa kama EPL, UEFA au EL. Mnaonea sana wachezaji nyie.
 
Inahuzunisha sana yan, mchezaji wa kiwanho cha Ramsey wa kujivunia makombe hayo kweli? Hajatwaa hata EPL moja, masikini ya mungu ona anavyo furahia. Huyu jamaa anastahili makombe makubwa makubwa kama EPL, UEFA au EL. Mnaonea sana wachezaji nyie.
Wewe jamaa Leo unakuja kupayuka humu, haya muda wako huu
 
Mashabik WA manyua wamekuja kujipozea humu

Ila tambuen sisi bado tuna nafasi moja ,ambayo ni final ya europa
 
Mkuu sasa kocha haoni hili au nae ni tatizo? Kwa upande wangu simuelewi kocha kabisa.
Unajua emery kayataka mwenyewe,angalia game zote ,tulizozingua fatilia utakuta alichange formation

Kwa wachezaji aliowakuta , bado hawafiti kwenye 4-4-2,4-2-3-1,
 
Mkuu sasa kocha haoni hili au nae ni tatizo? Kwa upande wangu simuelewi kocha kabisa.
Angalia game tunazoshinda ni 3-4-1-2 au 3-4-3

Maana timu inakuwa imebalance kuanzia beki kiungo had forward,

Anapokuja kuchange na kutumia 4-4-2 au 4-2-3-1 timu inakosa balance kwakuwa hakuna winger halisi kwenye mbavu zote kulia na kushoto, namba 2 belle hayupo ,

Timu inapwaya
 
Unajua emery kayataka mwenyewe,angalia game zote ,tulizozingua fatilia utakuta alichange formation

Kwa wachezaji aliowakuta , bado hawafiti kwenye 4-4-2,4-2-3-1,
Kweli kabisa, kama ataendelea kutumia hii mifumo yake hata Europe hatubebi.
 
Back
Top Bottom