Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
hivi kweli international player unaweza kufanya kosa alilolifanya xhaka? he is kind of rubbish to offload
Hivi kumbe mmeshaingia fainali
We jamaa huko uliko nahisi ushapungua kilo nne. Hutaamini na fainali nakugonga![]()
Inahuzunisha sana yan, mchezaji wa kiwango cha Ramsey wa kujivunia makombe hayo kweli? Hajatwaa hata EPL moja, masikini ya mungu ona anavyo furahia. Huyu jamaa anastahili makombe makubwa makubwa kama EPL, UEFA au EL. Mnaonea sana wachezaji nyie.Kiungo wa Arsenal Aaron ramsey ametoa shukran zake za mwisho kwa mashabiki wa Arsenal kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Nimefikiria kwa kuongea dhahiri kwamba nahisi mechi dhidi ya Napoli, Ndio ilikuwa mechi yangu ya mwisho huku nikiwa nimevaa jezi ya Arsenal.
Nasikutegemea kama ile ndio mechi ambayo itaniacha nikiwa na majeraha.
na ndio utakuwa mwisho wangu kuitumika Arsenal tena.
kwababu nilipanga kuitumikia Arsenal hadi mwisho wa mkataba wangu unapokwisha kabisa.
Nimejisikia vibaya sana kwasababu sitoweza kuwa fiti hadi mwisho wa msimu utakapokwisha.
Ila yote kwa yote kwa kipindi hiki cha kuuguza majeraha mimi bado ni mchezaji wa Arsenal.
Ila, ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa mashabiki wote wa Arsenal kwa ushirikiano wenu mkubwa.
Kitu kingine ningependa kuwajulisha kwamba safari yangu ya kuondoka ipo mbioni.
Nimeitumikia Arsenal ndani ya miaka 11.
Nilikuwa kijana mwenye umri mdogo tena wakawaida sana.
Na mpaka sasa naondoka nikiwa mwanandoa na baba wa familia ya watoto 3.
Najivunia san kwa kumbukumbu nzuri niliyoipata nikiwa ndani ya Arsenal.
Ahsanteni sana"
Bado ninayomengi ya kusema ila kwa haya machache yanatosha.
Mengine nitamalizia kwa kuwaaga kamili siku ya Jumapili ktk kukamilisha mchezo wetu wa mwisho tukiwa nyumbani.
Akamalizia kwa kusema nawashukuru sana
View attachment 1088540View attachment 1088541View attachment 1088542View attachment 1088544View attachment 1088545View attachment 1088546
Soka haliendi hivyo, ingekua hivyo basi yangetengenezwa mazingira kila game aagwe mtu ili 'ushindi uwe lazima' kama unavyojinasibuLeo tunawaaga Ramsey na Cech, hivo ushindi lazima
Wewe jamaa Leo unakuja kupayuka humu, haya muda wako huuInahuzunisha sana yan, mchezaji wa kiwanho cha Ramsey wa kujivunia makombe hayo kweli? Hajatwaa hata EPL moja, masikini ya mungu ona anavyo furahia. Huyu jamaa anastahili makombe makubwa makubwa kama EPL, UEFA au EL. Mnaonea sana wachezaji nyie.
Naam mkuuMimi nina wasiwasi Arsenal atatoa sare ila Chelsea atashinda.
Mkuu sasa kocha haoni hili au nae ni tatizo? Kwa upande wangu simuelewi kocha kabisa.Yaan siku tukicheza nje ya 3-4-3 timu haibalance
Sasa una uhakika gani kama utabeba kwa timu yako hiyo.?Umeanza kuongea mkuu,
OK bado tuna option 1 yakwenda UCL, nayo ni kubeba Europa league
Unajua emery kayataka mwenyewe,angalia game zote ,tulizozingua fatilia utakuta alichange formationMkuu sasa kocha haoni hili au nae ni tatizo? Kwa upande wangu simuelewi kocha kabisa.
Huyo darajani hachomoki, nimeacha kapigwa 6-1 huko sijui na ye anatunza wachezaji kwa ajili ya mechi yetu.OK ngoja tuone basi,hiyo siku ya final,kwanza pambana umpige mjeruman alhamic
Basi tuseme nyie ndio mtaingia fainaliHivi kumbe mmeshaingia fainali

Angalia game tunazoshinda ni 3-4-1-2 au 3-4-3Mkuu sasa kocha haoni hili au nae ni tatizo? Kwa upande wangu simuelewi kocha kabisa.
Ngoja tuone hiyo alhamisHuyo darajani hachomoki, nimeacha kapigwa 6-1 huko sijui na ye anatunza wachezaji kwa ajili ya mechi yetu.
Mkuu umeshafikaSasa una ubakika gani kama utabeba kwa timu yako hiyo.?
Kweli kabisa, kama ataendelea kutumia hii mifumo yake hata Europe hatubebi.Unajua emery kayataka mwenyewe,angalia game zote ,tulizozingua fatilia utakuta alichange formation
Kwa wachezaji aliowakuta , bado hawafiti kwenye 4-4-2,4-2-3-1,
Umeuliza swali zuri,, kwa Europa tunacheza formation tofauti na EPL, mwalimu alibadil na ndio maana EPL, tumeyumba,Sasa una ubakika gani kama utabeba kwa timu yako hiyo.?