Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Line up
Screenshot_2019-05-02-21-00-07.jpeg
 
Arsenal XI: Cech; Sokratis, Koscielny, Mustafi; Maitland-Niles, Guendouzi, Xhaka, Kolasinac; Özil; Aubameyang, Lacazette

Valencia XI: Neto; Diakhaby, Garay, Paulista, Roncaglia; Piccini, Carlos Soler, Parejo, Gayà; Rodrigo, Guedes.

#UEL #ARSVAL https://t.co/gtdvr0cXuS
 
Mkuu emery ndio msimu wake wa kwanza, hebu muache kama madirisha matatu ajenge timu ,tutamjaji,

Klopp msimu wa kwanza hata top 4 alikuwa hagombei. ,mm kwangu unai ka jitahid sana, ila amekosa wachezaji wakumsaidia, ndio maana anahitaji madirisha karibu matatu, atengeneze jeshi lake litakalomtii
Huwa nawashangaa watu wanaomponda Unai wakati Klopp msimu wake wa kwanza Liverpool ilimaliza nafasi ya 8 na huu ni msimu wake wa nne hata kikombe cha chai hana.
Tumpe muda Unai, mabadiliko ya timu huchukua muda.
 
Huwa nawashangaa watu wanaomponda Unai wakati Klopp msimu wake wa kwanza Liverpool ilimaliza nafasi ya 8 na huu ni msimu wake wa nne hata kikombe cha chai hana.
Tumpe muda Unai, mabadiliko ya timu huchukua muda.
Ni kweli ngoja aondoe mizigo, alete watu wake ,then tutamuhukumu,

Maana kwa tactic sina shida Naye, tatizo hana watu wanaofit matakwa yake,,

Mustafi,elneny, iwobi, Micky, hawa watu baada ya madirisha mawili, hawatakuwepo,zitakuja sura mpya
 
Czech ndio mechi zake za mwisho, how far he gonna appear in arsenal shirt depends on arsenal performance in Europa league
 
Back
Top Bottom